Bahari ni kiboko ya usafiri wa wachawi

Kuna njia kuu tatu zinazotumiwa na mwanadamu kwa ajili ya usafiri yani kutoa sehemu moja mpaka nyingine nazo ni maji anga na ardhi .

Lakini kwa mchawi ni mbili anga na ardhi , majini wengi wanaikwepa na kuiogopa hasa na wale wachache wanaitumia ni mpaka wapate kibali cha ufalme wa majini .

Mchawi atatumia ungo-hii ni advanced tech ya usafiri na inajumuisha mambo mengi ila ni salama na ni ya haraka zaidi kama ulivyo usafiri wa ndege za kawaida pia ni usafiri wa masafa marefu
Usafiri mwingine ni wa ardhini huu hauna hatari nyingi na gharama pia ni ndogo , chombo chake kwa sehemu kubwa ni Mnyama fisi, tatizo moja la huu usafiri ni inland routes tena za masafa mafupi na wachawi daraja la chini .

Lakini ni mara ngapi umeshasikia usafiri wa wachawi baharini? Ni aghalabu kusikia hii kitu hata kutumia mazao bahari kama makombe na samaki kwenye shughuli za kiganga ni mara chache mno.

Sababu moja kuu ni kwamba maji ndio yanayotajwa la dunia robo tatu ya uso wa dunia ni maji na hata mwili wako pia, kwahiyo ufalme wa maji kwa maana ya majini ndio ufalme wa giza wenye nguvu zaidi na sophisticated zaidi kiasi kwamba ufalme wa giza wa ardhini unapwaya na kugwaya kwa ufalme wa maji .

Ndio maana huwezi kusikia hata siku moja eti mchawi kaanguka baharini au kuna chombo kinachotumiwa na wachawi kusafiria baharini.
Wewe hii habari uliijuaje?? au uliwezaje kufanya research....?
 
Kuna njia kuu tatu zinazotumiwa na mwanadamu kwa ajili ya usafiri yani kutoa sehemu moja mpaka nyingine nazo ni maji anga na ardhi .

Lakini kwa mchawi ni mbili anga na ardhi , majini wengi wanaikwepa na kuiogopa hasa na wale wachache wanaitumia ni mpaka wapate kibali cha ufalme wa majini .

Mchawi atatumia ungo-hii ni advanced tech ya usafiri na inajumuisha mambo mengi ila ni salama na ni ya haraka zaidi kama ulivyo usafiri wa ndege za kawaida pia ni usafiri wa masafa marefu
Usafiri mwingine ni wa ardhini huu hauna hatari nyingi na gharama pia ni ndogo , chombo chake kwa sehemu kubwa ni Mnyama fisi, tatizo moja la huu usafiri ni inland routes tena za masafa mafupi na wachawi daraja la chini .

Lakini ni mara ngapi umeshasikia usafiri wa wachawi baharini? Ni aghalabu kusikia hii kitu hata kutumia mazao bahari kama makombe na samaki kwenye shughuli za kiganga ni mara chache mno.

Sababu moja kuu ni kwamba maji ndio yanayotajwa la dunia robo tatu ya uso wa dunia ni maji na hata mwili wako pia, kwahiyo ufalme wa maji kwa maana ya majini ndio ufalme wa giza wenye nguvu zaidi na sophisticated zaidi kiasi kwamba ufalme wa giza wa ardhini unapwaya na kugwaya kwa ufalme wa maji .

Ndio maana huwezi kusikia hata siku moja eti mchawi kaanguka baharini au kuna chombo kinachotumiwa na wachawi kusafiria baharini.
 
Ni zaidi ya hapo ..ni hivi mwisho wa yote kuna nguvu isiyionekana ndio hufanya mambo yaende kwa mfano wa JF mpaka tunasomana hizi post zetu mengi yamejumuishwa nitataja machache
App ya JF , servers zake, wafanyakazi,mitandao ya simu, umeme , masafa,network, simu yenye charge kifurushi simcard, na wewe mwenyewe na kile ukiwazacho na muda na vidole vya kutype na ufahamu wako pia

Kwenye gari
Lazima gari likamilike kila kitu lakini haliwezi kwenda kama halijawashwa, au halina dereva au ufunguo nk nk kwahiyo mpaka unaona gari linatembea barabarani ni mjumuiko wa vitu vingi lakini kuna kimoja kisichoonekana na kisicho na maelezo ya kwanini gari linakwenda
Life is not permanent ,don take it serious
 
kipindi cha utoroshaji wa mali hasa madini kutoka africa kwenda ulaya naskia meli nyingi zilizama baharini.kuna simulizi nyingi zikiusisha nguvu za ajabu zilizokua zinazamisha meli.na inasemekana bahari imemeza utajiri wa matrilioni
 
kipindi cha utoroshaji wa mali hasa madini kutoka africa kwenda ulaya naskia meli nyingi zilizama baharini.kuna simulizi nyingi zikiusisha nguvu za ajabu zilizokua zinazamisha meli.na inasemekana bahari imemeza utajiri wa matrilioni
Tuliidhaurishwa hii elimu na wazungu lakini kuna vingi vilifanya kazi
 
Kuongezea kidogo......uchawi wote duniani baba yake ni ibilisi (shetani) ila sasa wachawi ni binadam na wanatumia nguvu za giza kwa faida yao (wanayoiona wao)

Majini hawa ni automatical katika nguvu wanazotumia na hawategemei dawa ili kufanya maisha yake tofauti na mchawi, mganga anatumia majini na si mganga yeyote anaweza kuwatumia majini pindi akionyeshwa njia na kufuata maagano.

MGANGA ANATUMIAJE MAJINI?

Asili ya uganga asilimia kubwa upo njia mbili, uganga wa kurithi kutoka kwa babu, baba, bibi, mama nk haswa pale anapokufa na mikoba inataka kurithiwa ili iendelee kufanya kazi......na hapa sio kurithi tunguli au vitabu tu bali wapo majini wenye kusimamia vitu vyao na ndio maana ikiwa wewe ndio mrithi na ukakataa unaweza usibaki salama.

Njia ya pili ni uganga wa kukuchunuku, hapa majini hutokea kukuchunuku na wakakupa matatizo mbali mbali na mwisho wa siku kumbe wanataka uwe mganga.

Hapo nimekuonyesha ushirika wa majini na uganga (sio hawa matapeli)
Ipo njia nyingine ambayo ni uganga wa kujifunza ingawa haina nguvu sana ki utendaji.

Nikitulia nitaeleza juu ya tofauti ya majini na mashetani

Tofauti ya jini aliyeumbwa na aliyetengenezwa na binadamu

Tofauti ya majini wa bara na pwani nk
Na haitakua ni story bali ninayoona kwa macho
jichawi hivi kuna hawa waganga tiba asilia wanasema wanatibu kila ugonjwa kuna uwezekano kuwa hizo dawa zina zina tumia nguvu za kimajin? kama ni kweli utajuaje kuwa anatumia mizizi ya kawaida au si ya kawaida
 
Kuua si kwamba ndio jambo la kipaumbele kwao ila pia inategemea iwapo umewakosea au la, ila pia wakati mwengine wanaweza kukudhuru bila hata kosa......baadhi ya mambo wanayodhuru watu ni kuwafunga rizki, kuwafunga uzazi, kuwapa maradhi, kufarakanisha, mikosi, vitimbi nk

Kuhusu kukujua wana uwezo wa kukujua iwapo wakitaka, hata uende ulaya wanaweza kukufuata (hapa ni wale wenye vyeo katika uchawi).
Kama ilivyo dunia ina mengi, majoka, majini, wanyama nk lakini bado tunaishi ndivyo dunia ilivyo
Mkuu jichawi heshima yako ,


Huu /hizi Mifupa ya nguruwe iwekwe wapi? Inadaiwa pia Mkojo ni kinga kubwa sana Tunaomba majibu mheshimiwa.
 
Bado hizo sio kinga bora iwe katika falme za kiganga ama kwenye dini[/QUOTE]

Sasa Jichawi ikiwa hizo sio kinga Bora Kinga bora ni ipi basi?

Na vipi watagunduaje mbinu hizo???
jichawi
 
UCHAWI HAUPO BALI NI PROPAGANDA TU. WATU WANATUNGA KAMA ULIVYOTUNGA WEWE AU ALIYEKUSIMULIA ALITUNGA NA MWISHO WA SIKU NI PROPAGANDA HIZO KUANZA KUZUNGUKA NA WATU WANASIMULIANA KAMA WAMEONA LAKINI UKIMTAFUTA MWANADAMU ALIYEWAHI KUPAA ANGANI KWA UCHAWI HUWEZI KUMPATA ISIPOKUWA WANAOWEZA KUPAGAWISHWA WAKADAI WALIPAA LAKINI HAWANA UHAKIKA MAANA WALIKUWA USINGIZINI WAKIKUMBUKA KAMA MAMBO YALITOA KWELI LAKINI YAMETOKEA WAMELALA HAO WANAWEZA KUPATIKANA.

HATA WANAOSOMA HABARI YAKO WATAANZA KUISIMULIA KAMA VILE WANA UHAKIKA NA WAMEWAHI KUSHUHUDIA.

Kuna njia kuu tatu zinazotumiwa na mwanadamu kwa ajili ya usafiri yani kutoa sehemu moja mpaka nyingine nazo ni maji anga na ardhi .

Lakini kwa mchawi ni mbili anga na ardhi , majini wengi wanaikwepa na kuiogopa hasa na wale wachache wanaitumia ni mpaka wapate kibali cha ufalme wa majini .

Mchawi atatumia ungo-hii ni advanced tech ya usafiri na inajumuisha mambo mengi ila ni salama na ni ya haraka zaidi kama ulivyo usafiri wa ndege za kawaida pia ni usafiri wa masafa marefu
Usafiri mwingine ni wa ardhini huu hauna hatari nyingi na gharama pia ni ndogo , chombo chake kwa sehemu kubwa ni Mnyama fisi, tatizo moja la huu usafiri ni inland routes tena za masafa mafupi na wachawi daraja la chini .

Lakini ni mara ngapi umeshasikia usafiri wa wachawi baharini? Ni aghalabu kusikia hii kitu hata kutumia mazao bahari kama makombe na samaki kwenye shughuli za kiganga ni mara chache mno.

Sababu moja kuu ni kwamba maji ndio yanayotajwa la dunia robo tatu ya uso wa dunia ni maji na hata mwili wako pia, kwahiyo ufalme wa maji kwa maana ya majini ndio ufalme wa giza wenye nguvu zaidi na sophisticated zaidi kiasi kwamba ufalme wa giza wa ardhini unapwaya na kugwaya kwa ufalme wa maji .

Ndio maana huwezi kusikia hata siku moja eti mchawi kaanguka baharini au kuna chombo kinachotumiwa na wachawi kusafiria baharini.
 
UCHAWI HAUPO BALI NI PROPAGANDA TU. WATU WANATUNGA KAMA ULIVYOTUNGA WEWE AU ALIYEKUSIMULIA ALITUNGA NA MWISHO WA SIKU NI PROPAGANDA HIZO KUANZA KUZUNGUKA NA WATU WANASIMULIANA KAMA WAMEONA LAKINI UKIMTAFUTA MWANADAMU ALIYEWAHI KUPAA ANGANI KWA UCHAWI HUWEZI KUMPATA ISIPOKUWA WANAOWEZA KUPAGAWISHWA WAKADAI WALIPAA LAKINI HAWANA UHAKIKA MAANA WALIKUWA USINGIZINI WAKIKUMBUKA KAMA MAMBO YALITOA KWELI LAKINI YAMETOKEA WAMELALA HAO WANAWEZA KUPATIKANA.

HATA WANAOSOMA HABARI YAKO WATAANZA KUISIMULIA KAMA VILE WANA UHAKIKA NA WAMEWAHI KUSHUHUDIA.
Unaamini katika Mungu? Kama hapana post yako ni valid lakini kama ndio basi ulichoandika ni upuuzi mtupu na hata maandiko husomi
 
Iko hivi KENZY binadamu kamili anaundwa na vitu vitatu nafsi/roho, ufahamu/akili na mwili wa nyama..kiingereza ni me myself and I
Nje ya hivyo vitatu kikikosekana kimoja huyo mwanadamu sio kamili bali kuna
-jina lake
-roho yake
-akili yake
Katika haya kinachoitwa roho hakionekani wala kinachoitwa ufahamu hakishikiki bali kwa umoja wao huunda uhai wako na mengine yote yanayokuhusu
Kwa mfano ukitaka kufanya kitu flan...kuna hal au kama kitu kinakuambia either ufanye au usifanye...hicho n nn mshana!?
 
Kwa mfano ukitaka kufanya kitu flan...kuna hal au kama kitu kinakuambia either ufanye au usifanye...hicho n nn mshana!?
Hiki ni jicho la tatu au kwa lugha nyingine machale au sensi ya sita..hii haina uhusiano na mambo ya kishirikina au uchawi
 
3f2dceb66f80d8570a5f26cc42b8f5f0.jpg


mshana jr
Nimejaribu kusoma page za mwanzo za hiki kitabu na nimeshangaa kuona "yesu kristo na roho mtakatifu wakitajwa ktk maombi" mfano uk.09

Nimeshindwa kukiweka hapa maana kina 10s MB ila unaweza kukipakua.

Tupeane maarifa hapa au ndo na watumishi wengine hutumia magic ktk maombezi?
 
3f2dceb66f80d8570a5f26cc42b8f5f0.jpg


mshana jr
Nimejaribu kusoma page za mwanzo za hiki kitabu na nimeshangaa kuona "yesu kristo na roho mtakatifu wakitajwa ktk maombi" mfano uk.09

Nimeshindwa kukiweka hapa maana kina 10s MB ila unaweza kukipakua.

Tupeane maarifa hapa au ndo na watumishi wengine hutumia magic ktk maombezi?
Kuna mahali nadhani nimekujibu kuhusu hili...usiyaamini haya maandiko ni kampeni ya kishetani kumhusisha Mungu na mambo mabaya
 
Jf kweli ni noma

Mshana Jr na jichawi
Kuna hawa majini mahaba, nasikia wapo wa aina mbili, wa kichawi na jini wa kawaida. Kwamba wanatumwa kufunga riziki, na inaonekana waganga wengi wanapata tabu sana kuwatoa.

Hawa wanakuaje
 
Back
Top Bottom