Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,677
- 5,030
Wadau wa JF wamepania kuvuna chochote by any means... aminia, juu kuna Airtel, chini kuna TIGO. Wapi umeona Coca Cola na Pepsi wana-sponsor entity/kampuni moja at the same time?
Labda Vodacom, Zantel na Sasatel watakwapua dili za kuweka matangazo yao kushoto, kulia na katikati ya jukwaaa. Najiuliza; hii ni tamaa au ni njaa? Kwa vyovyote, inakera!
Labda Vodacom, Zantel na Sasatel watakwapua dili za kuweka matangazo yao kushoto, kulia na katikati ya jukwaaa. Najiuliza; hii ni tamaa au ni njaa? Kwa vyovyote, inakera!