yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Nadir haroub canavaro alipewa kadi nyekundu (strait red card) na refa Israel mkongo kwa kosa la vurugu wakati wa mechi yanga na azam .kamti ya ligi ikamuadhibu kutocheza mechi 6,ingawa kamati ya tibaigana ikasimamisha adhabu hiyo kwa muda na kutaka ibakie adhabu ya refa wakati rufaa inashugulikiwa,sasa ufafanuzi ni huu:
*SHERIA za tff (hata fifa) mchezaji akipewa kadi nyekundu kavu (strait red card ) adhabu yake ni kukosa mechi2.
*Mchezaji akipewa yello + yellow=red card atakosa mechi moja.
Kanuni za adhabu:
*mchezaji akiwa amepewa strait red card kwa kucheza rafu mbaya atakosa mechi 2.
*mchezaji akipewa red card kwa kwa kutukana kumpiga mchezaji mwenzie, kuonesha ishara mbaya au kwa VURUGU adhabu ni kukosa mechi zisizopungua3 au zaidi (canavaro alingukia hapa)
@BUT TFF Ndo wanaoamua mchezaji anaangukia katika kipengere kipi cha kanuni kupitia vikao vyao na kuiarifu club kua mchezaji atakosa mechi ngapi..
¤REMEMBER kikao cha kamati ya ligi kilimuhukumu canavaro mechi 6.but kamati ya tibaigana ilicansel hiyo adhab,so hicho kipengere kikawa hakipo active kwa canavaro ,so canavaro akawa anatumikia SHERIA (sio kanuni) ambayo inamzui kukosa mechi2..asanteni!
*SHERIA za tff (hata fifa) mchezaji akipewa kadi nyekundu kavu (strait red card ) adhabu yake ni kukosa mechi2.
*Mchezaji akipewa yello + yellow=red card atakosa mechi moja.
Kanuni za adhabu:
*mchezaji akiwa amepewa strait red card kwa kucheza rafu mbaya atakosa mechi 2.
*mchezaji akipewa red card kwa kwa kutukana kumpiga mchezaji mwenzie, kuonesha ishara mbaya au kwa VURUGU adhabu ni kukosa mechi zisizopungua3 au zaidi (canavaro alingukia hapa)
@BUT TFF Ndo wanaoamua mchezaji anaangukia katika kipengere kipi cha kanuni kupitia vikao vyao na kuiarifu club kua mchezaji atakosa mechi ngapi..
¤REMEMBER kikao cha kamati ya ligi kilimuhukumu canavaro mechi 6.but kamati ya tibaigana ilicansel hiyo adhab,so hicho kipengere kikawa hakipo active kwa canavaro ,so canavaro akawa anatumikia SHERIA (sio kanuni) ambayo inamzui kukosa mechi2..asanteni!