mkuu nikweli clouds fm wame tangaza kua yanga wamenyang'anywa point 3 na magoli3 kama wamekosea niwao watangazaji ila nikweli wametanganza mwishoni kabisa mwa kipindi chao cha michezo,nimesikia wala sijasimuliwa.sitaki kuamini kama leo ni wajingaday,nimesikiliza kipindi mwanzo hadi mwisho sijaskia hicho kitu.namuomba mod aipeleke híi kwenye jokes