BAD NEWS: Coastal V Yanga kugeuka mechi ya kirafiki?

Mlitika

JF-Expert Member
Mar 23, 2012
457
260
Mabingwa watetezi wa kabumbu nchini Dar Y.A. leo/jana (samahani, sina hakika na saa yangu) walikuwa wageni wa Coastal Union huko ugosini ambapo muda wa mchezo uliisha kwa mabingwa hao watetezi kuwa mbele kwa bao moja. Katika mechi hiyo mabingwa hao watetezi walimchezesha Stephano Mwasika ambaye kwa kadiri ya sheria za kabumbu alikuwa bado anatumikia kifungo halali cha Kadi nyekundu kwa kosa la kumchapa makonde mwamuzi. Baada ya rapsha za mechi hiyo Kamati ya Mashindano ya TFF ilitembeza kibano kwa wachezaji watano wa Yanga ambapo bondia Mwasika pamoja na kifungo cha kawaida cha kadi nyekundu cha kuwa benchi kwa mechi zisizopungua tatu alilimwa ban ya kuwa nje ya ligi kwa MWAKA MMOJA.

Katika hali inayo-apply tu katika busara za soka la
Kibongo Kamati ya Nidhamu ya TFF chini ya njagu mstaafu Tiba iliamua kuondoa vibano vya wanasoka hao. Yanga kwa ulevi wa ushindi wa kesi wakaamua kumchezesha Mwasika leo (jana) wakijisahaulisha kuwa ishu yake ilikuwa na adhabu mbili toka Mamlaka mbili tofauti

1. Kadi nyekundu which is indubitable kwa maana kwamba ktk sheria za kabumbu hakuna awezaye kutangua maamuzi ya refa halafu matokeo ya mechi yabaki halali. Mamlaka yoyote itakayotangua maamuzi ya refa hata katika tukio moja la mchezo basi maamuzi yoye ya refa kisheria yanapashwa kuwa batili na kwa sababu hiyo mechi inapashwa kurudiwa.
2. Kamati ya Mashindano ya TFF ilimpa Mwasika mezani hiyo ban ya mwaka 1 kama adabu ya pili (ambayo haifuti ile ya kwanza).

Ili iwe halali kwa adhabu ya kwanza hapo juu kufutwa na kamati ya Tiba ni lazima sentenso zifuatazo ziwe mantiki sahihi:
· Maamuzi ya refa siyo ya mwisho / maamuzi mbadala yanaweza kutolewa na mtu kama Tiba ambaye siyo lazima awe uwanjani wakati mechi inachezwa.
· Mwasika alikuwa sahihi kumpiga refa/ Mwasika kumpiga refa ilikuwa halali ndiyo maana kadi nyekundu aliyopewa siyo halali.

Kama tukifuata tu sheri za FIFA ili kujenga heshima yetu na kukuza nidhamu ya wachezaji wetu ambayo ni mbovu na ndiyo inayodidimiza soka letu, Yanga wana sababu ipi ya kutonyang'wanywa pointi tatu za mechi hii?


SOSI NI MIMI NA SHERIA ZA SOKA!
 
Kibongo bongo kila kitu Kulindana! Walijisahau kama walivyojisahau Tipimazembe kumchezeza yule mchezaji na simba wakanyang'anywa ushindi!
 
Tatizo siasa tu imeingia kila mahali katika taifa letu .Tusali tu tuombe MUNGU nchi iwe kama za wenzetu kwani adhabu hiyo angepewa mchezaji wa timu zingine kama Ruvu JKT isingefutwa milele.
 
Mabingwa watetezi wa kabumbu nchini DarY.A. leo/jana (samahani, sina hakika na saa yangu) walikuwa wageni wa Coastal Union huko ugosini ambapo muda wa mchezo uliisha kwa mabingwa hao watetezi kuwa mbele kwa bao moja. Katika mechi hiyo mabingwa hao watetezi walimchezesha StephanoMwasikaambaye kwa kadiri ya sheria za kabumbu alikuwa bado anatumikia kifungo halali cha Kadi nyekundu kwa kosa la kumchapa makonde mwamuzi. Baada ya rapsha za mechi hiyo Kamati ya Mashindano ya TFF ilitembeza kibano kwa wachezaji watano wa Yangaambapo bondia Mwasikapamoja na kifungo cha kawaida cha kadi nyekundu cha kuwa benchi kwa mechi zisizopungua tatu alilimwa ban ya kuwa nje ya ligi kwa MWAKA MMOJA.

Katika hali inayo-apply tu katika busara za soka la
KibongoKamati ya Nidhamu ya TFF chini ya njagu mstaafu Tiba iliamua kuondoa vibano vya wanasoka hao. Yanga kwa ulevi wa ushindi wa kesi wakaamua kumchezesha Mwasika leo (jana) wakijisahaulisha kuwa ishu yake ilikuwa na adhabu mbili toka Mamlaka mbili tofauti

1. Kadi nyekundu which is indubitable kwa maana kwamba ktk sheria za kabumbu hakuna awezaye kutangua maamuzi ya refa halafu matokeo ya mechi yabaki halali. Mamlaka yoyote itakayotangua maamuzi ya refa hata katika tukio moja la mchezo basi maamuzi yoye ya refa kisheria yanapashwa kuwa batili na kwa sababu hiyo mechi inapashwa kurudiwa.
2. Kamati ya Mashindano ya TFF ilimpa Mwasika mezani hiyo ban ya mwaka 1 kama adabu ya pili (ambayo haifuti ile ya kwanza).

Ili iwe halali kwa adhabu ya kwanza hapo juu kufutwa na kamati ya Tiba ni lazima sentenso zifuatazo ziwe mantiki sahihi:
· Maamuzi ya refa siyo ya mwisho / maamuzi mbadala yanaweza kutolewa na mtu kama Tiba ambaye siyo lazima awe uwanjani wakati mechi inachezwa.
· Mwasika alikuwa sahihi kumpiga refa/ Mwasika kumpiga refa ilikuwa halali ndiyo maana kadi nyekundu aliyopewa siyo halali.

Kama tukifuata tu sheri za FIFA ili kujenga heshima yetu na kukuza nidhamu ya wachezaji wetu ambayo ni mbovu na ndiyo inayodidimiza soka letu, Yanga wana sababu ipi ya kutonyang'wanywa pointi tatu za mechi hii?


SOSI NI MIMI NA SHERIA ZA SOKA!
marafiki wa simba mna taabu sana,tatizo wengi mmeingia kwenye soka kwa kukurupuka bila kujifunza kwanza sheria za mchezo mnaoupenda(soka). Ngoja nitoe darasa kidogo kwa faida yako na mbumbumbu wengine wa sheria mpya za soka.

Iko hivi,mchezaji akipewa straight red card ni kweli anakosa mechi tatu,ila immediately anaanza kutumikia adhabu hiyo ya mechi tatu katika mchezo ambao ndio siku hiyo amepewa kadi nyekundu,it means mchezo huo aliopelewa kadi unahesabika kama ndio mchezo wa kwanza kwa mchezaji husika kutumikia adhabu ya kukaa nje michezo mitatu,hivyo mchezo husika unapomalizika anakua amebakiza michezo miwili ya kukaa nje ya dimba kati ya mitatu.

Hivyo canavaro sijui mwasika na pamoja na salum aboubakar wa azam,mchezo wao wa kwanza kutumikia adhabu ya michezo mitatu ulikuwa ni ule wa azam na yanga!
 
Tibaigana ameongozwa na hisia ambazo zinatoka kwenye moyo wake na akasahau kutumia ubongo ambao ndiyo unajua na umejicunza sheria.
 
marafiki wa simba mna taabu sana,tatizo wengi mmeingia kwenye soka kwa kukurupuka bila kujifunza kwanza sheria za mchezo mnaoupenda(soka). Ngoja nitoe darasa kidogo kwa faida yako na mbumbumbu wengine wa sheria mpya za soka.

Iko hivi,mchezaji akipewa straight red card ni kweli anakosa mechi tatu,ila immediately anaanza kutumikia adhabu hiyo ya mechi tatu katika mchezo ambao ndio siku hiyo amepewa kadi nyekundu,it means mchezo huo aliopelewa kadi unahesabika kama ndio mchezo wa kwanza kwa mchezaji husika kutumikia adhabu ya kukaa nje michezo mitatu,hivyo mchezo husika unapomalizika anakua amebakiza michezo miwili ya kukaa nje ya dimba kati ya mitatu.

Hivyo canavaro sijui mwasika na pamoja na salum aboubakar wa azam,mchezo wao wa kwanza kutumikia adhabu ya michezo mitatu ulikuwa ni ule wa azam na yanga!

Kadanganye wanawake wenzio!
 
marafiki wa simba mna taabu sana,tatizo wengi mmeingia kwenye soka kwa kukurupuka bila kujifunza kwanza sheria za mchezo mnaoupenda(soka). Ngoja nitoe darasa kidogo kwa faida yako na mbumbumbu wengine wa sheria mpya za soka.

Iko hivi,mchezaji akipewa straight red card ni kweli anakosa mechi tatu,ila immediately anaanza kutumikia adhabu hiyo ya mechi tatu katika mchezo ambao ndio siku hiyo amepewa kadi nyekundu,it means mchezo huo aliopelewa kadi unahesabika kama ndio mchezo wa kwanza kwa mchezaji husika kutumikia adhabu ya kukaa nje michezo mitatu,hivyo mchezo husika unapomalizika anakua amebakiza michezo miwili ya kukaa nje ya dimba kati ya mitatu.

Hivyo canavaro sijui mwasika na pamoja na salum aboubakar wa azam,mchezo wao wa kwanza kutumikia adhabu ya michezo mitatu ulikuwa ni ule wa azam na yanga!
... tatizo mlegezo.
 
Kama kumbukumbu ni sahihi, Mwasika hakupata adhabu yoyote ya uwanjani. Hivyo hana red card.
 
Mabingwa watetezi wa kabumbu nchini DarY.A. leo/jana (samahani, sina hakika na saa yangu) walikuwa wageni wa Coastal Union huko ugosini ambapo muda wa mchezo uliisha kwa mabingwa hao watetezi kuwa mbele kwa bao moja. Katika mechi hiyo mabingwa hao watetezi walimchezesha StephanoMwasikaambaye kwa kadiri ya sheria za kabumbu alikuwa bado anatumikia kifungo halali cha Kadi nyekundu kwa kosa la kumchapa makonde mwamuzi. Baada ya rapsha za mechi hiyo Kamati ya Mashindano ya TFF ilitembeza kibano kwa wachezaji watano wa Yangaambapo bondia Mwasikapamoja na kifungo cha kawaida cha kadi nyekundu cha kuwa benchi kwa mechi zisizopungua tatu alilimwa ban ya kuwa nje ya ligi kwa MWAKA MMOJA.

Katika hali inayo-apply tu katika busara za soka la
KibongoKamati ya Nidhamu ya TFF chini ya njagu mstaafu Tiba iliamua kuondoa vibano vya wanasoka hao. Yanga kwa ulevi wa ushindi wa kesi wakaamua kumchezesha Mwasika leo (jana) wakijisahaulisha kuwa ishu yake ilikuwa na adhabu mbili toka Mamlaka mbili tofauti

1. Kadi nyekundu which is indubitable kwa maana kwamba ktk sheria za kabumbu hakuna awezaye kutangua maamuzi ya refa halafu matokeo ya mechi yabaki halali. Mamlaka yoyote itakayotangua maamuzi ya refa hata katika tukio moja la mchezo basi maamuzi yoye ya refa kisheria yanapashwa kuwa batili na kwa sababu hiyo mechi inapashwa kurudiwa.
2. Kamati ya Mashindano ya TFF ilimpa Mwasika mezani hiyo ban ya mwaka 1 kama adabu ya pili (ambayo haifuti ile ya kwanza).

Ili iwe halali kwa adhabu ya kwanza hapo juu kufutwa na kamati ya Tiba ni lazima sentenso zifuatazo ziwe mantiki sahihi:
· Maamuzi ya refa siyo ya mwisho / maamuzi mbadala yanaweza kutolewa na mtu kama Tiba ambaye siyo lazima awe uwanjani wakati mechi inachezwa.
· Mwasika alikuwa sahihi kumpiga refa/ Mwasika kumpiga refa ilikuwa halali ndiyo maana kadi nyekundu aliyopewa siyo halali.

Kama tukifuata tu sheri za FIFA ili kujenga heshima yetu na kukuza nidhamu ya wachezaji wetu ambayo ni mbovu na ndiyo inayodidimiza soka letu, Yanga wana sababu ipi ya kutonyang'wanywa pointi tatu za mechi hii?


SOSI NI MIMI NA SHERIA ZA SOKA!

Wewe ni Muongo mkubwa....

Katika mechi ya jana Stephano Mwasyika hakuwepo hata kwenye benchi la wachezaji wa akiba na hata katika mechi na Azam Stephano hakupewa kadi nyekundu licha ya kwamba yeye ndiye aliyempiga ngumi muamuzi Israel Nkongo....Aliyepewa kadi nyekundu ni Nadir Haroub na ilikuwa ni kadi nyekundu kavu(bila kupewa kadi ya njano) yaani straight red card....

Kinachoangaliwa hapa ni kanuni za TFF za kudhibiti wachezaji wanapofanya makosa uwanjani na kanuni ya 25 inasema hivi:

a). Mchezaji atakayetolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi mbili za njano,hataruhusiwa kucheza mchezo
mmoja.

b). Mchezaji atakayetolewa kwa kadi nyekundu bila kupewa kadi ya njano(straight red card) hataruhusiwa kucheza
michezo miwili.

c). Mchezaji atakayetolewa kwa kadi nyekundu kavu(straight red card) kwa kosa la kupiga au kupigana hataruhusiwa
kucheza michezo mitatu inayofuata ya klabu yake na atalipa faini ya Tshs. 500,000/

d). Wachezaji watano wa klabu moja wakipata kadi katika mchezo mmoja(nyekundu au njano) klabu itaadhibiwa kulipa
faini ya Tshs. 500,000/

e). Mchezaji akipata jumla ya kadi tatu za njano hataruhusiwa kucheza mchezo mmoja.

Kwa suala la Nadir yeye anaangukia katika kipengele 'c' ambapo alipewa kadi nyekundu kwa kutuhumiwa kumpiga refa,na baada ya kupata adhabu hiyo tayari alikosa mechi 2,hata hivyo adhabu yake hii ni mojawapo ya zile adhabu zilizositishwa na kamati ya Nidhamu na Usuluhisi ya TFF so Nadir aliingia uwanjani akiwa huru baada ya adhabu za wachezaji wote kusitishwa mpaka kamati hiyo itakapokutana jumanne ijayo na kutoa maamuzi upya....

Tatizo sio Yanga....Tatizo ni TFF na umbumbumbu wao katika kusimamia kanuni na taratibu walizoziweka...Wanazo kamati nyingi mpaka wanashindwa hata kuzidhibiti kamati hizo......
 
Ndo tatizo letu wa-tz tutaishia kutetea upuuzi kwa kujali hisia zetu km alivofanya Tiba, matokeo soka letu linabaki km cha ndimu tu na tunaendelea kujinasibu kwa timu za nje oh, mi Man u, mi Arsenal, mi Brazil mi Ghana...
 
swala ni kwamba watoa maamuzi tanzania hii ni zaidi ya mmoja kwaiyo kila m2 anafanya awezavyo
 
Kwa vile leo ni siku ya wajinga nakusamehe, vinginevyo leo ningekuharibia siku asubuhi asubuhi....
 
marafiki wa simba mna taabu sana,tatizo wengi mmeingia kwenye soka kwa kukurupuka bila kujifunza kwanza sheria za mchezo mnaoupenda(soka). Ngoja nitoe darasa kidogo kwa faida yako na mbumbumbu wengine wa sheria mpya za soka.

Iko hivi,mchezaji akipewa straight red card ni kweli anakosa mechi tatu,ila immediately anaanza kutumikia adhabu hiyo ya mechi tatu katika mchezo ambao ndio siku hiyo amepewa kadi nyekundu,it means mchezo huo aliopelewa kadi unahesabika kama ndio mchezo wa kwanza kwa mchezaji husika kutumikia adhabu ya kukaa nje michezo mitatu,hivyo mchezo husika unapomalizika anakua amebakiza michezo miwili ya kukaa nje ya dimba kati ya mitatu.

Hivyo canavaro sijui mwasika na pamoja na salum aboubakar wa azam,mchezo wao wa kwanza kutumikia adhabu ya michezo mitatu ulikuwa ni ule wa azam na yanga!

Kakak mimi pia ni YANGA TENA MWANACHAMA HAI!
ILA KWA HILI UNAPOTOSHA!
KASOME TENA SHERIA!
 
Wewe ni Muongo mkubwa....

Katika mechi ya jana Stephano Mwasyika hakuwepo hata kwenye benchi la wachezaji wa akiba na hata katika mechi na Azam Stephano hakupewa kadi nyekundu licha ya kwamba yeye ndiye aliyempiga ngumi muamuzi Israel Nkongo....Aliyepewa kadi nyekundu ni Nadir Haroub na ilikuwa ni kadi nyekundu kavu(bila kupewa kadi ya njano) yaani straight red card....

Kinachoangaliwa hapa ni kanuni za TFF za kudhibiti wachezaji wanapofanya makosa uwanjani na kanuni ya 25 inasema hivi:

a). Mchezaji atakayetolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi mbili za njano,hataruhusiwa kucheza mchezo
mmoja.

b). Mchezaji atakayetolewa kwa kadi nyekundu bila kupewa kadi ya njano(straight red card) hataruhusiwa kucheza
michezo miwili.

c). Mchezaji atakayetolewa kwa kadi nyekundu kavu(straight red card) kwa kosa la kupiga au kupigana hataruhusiwa
kucheza michezo mitatu inayofuata ya klabu yake na atalipa faini ya Tshs. 500,000/

d). Wachezaji watano wa klabu moja wakipata kadi katika mchezo mmoja(nyekundu au njano) klabu itaadhibiwa kulipa
faini ya Tshs. 500,000/

e). Mchezaji akipata jumla ya kadi tatu za njano hataruhusiwa kucheza mchezo mmoja.

Kwa suala la Nadir yeye anaangukia katika kipengele 'c' ambapo alipewa kadi nyekundu kwa kutuhumiwa kumpiga refa,na baada ya kupata adhabu hiyo tayari alikosa mechi 2,hata hivyo adhabu yake hii ni mojawapo ya zile adhabu zilizositishwa na kamati ya Nidhamu na Usuluhisi ya TFF so Nadir aliingia uwanjani akiwa huru baada ya adhabu za wachezaji wote kusitishwa mpaka kamati hiyo itakapokutana jumanne ijayo na kutoa maamuzi upya....

Tatizo sio Yanga....Tatizo ni TFF na umbumbumbu wao katika kusimamia kanuni na taratibu walizoziweka...Wanazo kamati nyingi mpaka wanashindwa hata kuzidhibiti kamati hizo......

Mkuuu umetoa elimu ya bure kwa wajinga.
 
Back
Top Bottom