Hamna kaka wanapata ajira nzuri tu haoHabarini wapendwa,kuna dogo langu kapangiwa hii kozi hapo UDSM,naomba kujua ipoje na hawa watu wanaajiriwa kama walimu au vipi?
Hio Bachelor peke yake haitoshi kuwa mwalimu, hawasomi course za ualimu, ajipange akimaliza akasomee ualimu.Habarini wapendwa,kuna dogo langu kapangiwa hii kozi hapo UDSM,naomba kujua ipoje na hawa watu wanaajiriwa kama walimu au vipi?
Uhandisi na hata udokta piaZipi mkuu
Bruh🤣🤣🤣🤣 uko serious?Uhandisi na hata udokta pia
Habarini wapendwa,kuna dogo langu kapangiwa hii kozi hapo UDSM
😂😂😂🤣🤣🤣😁😁😁KabisaBruh🤣🤣🤣🤣 uko serious?
Hapana broo haiko ivo🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣😁😁😁Kabisa
Bruh
Huyo ataenda kufundisha secondary 😂😂😂🤣🤣😁Hapana broo haiko ivo🤣🤣🤣
Sio walimu hao, hao ni wanasayansi🤣Huyo ataenda kufundisha secondary 😂😂😂🤣🤣😁
Bruh ni Sawa na Broo, ni uandishi tuuBru ndio nini?