Tommy 911
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 541
- 362
Habarin Wana JF,
Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ndoto zangu ni kuendelea na masters baada ya kuhitimu kuhusu GPA nina 4.1 first year naimani itarange humo Hadi 3.8 minimum (final year).
Hivyo ningependa kujua km kuna scholarship na namn ya kupata ktk moja ya izi (msc in microbiology, biochemistry, organic chemistry, analytical chemistry and physical chemistry).
Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ndoto zangu ni kuendelea na masters baada ya kuhitimu kuhusu GPA nina 4.1 first year naimani itarange humo Hadi 3.8 minimum (final year).
Hivyo ningependa kujua km kuna scholarship na namn ya kupata ktk moja ya izi (msc in microbiology, biochemistry, organic chemistry, analytical chemistry and physical chemistry).