Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
Heshima kwenu wanajamvi.
Jana nilipata ujumbe wa sms from AIRTEL kwamba wamezindua huduma yao kijiji Samunge Loliondo kwa Mchungaji Babu.Ndugu jamaa na marafiki sasa mtaweza kuwasiliana na jamaa zenu wanaokwenda kwa Babu kupata kikombe.
Hongera AIRTEL mko juu sana>Hongera Babu kama si wewe wanakijiji wa Samunge wangeisubiri huduma kwa karne nyingine mbili.
Babu ohoyeeeee.
Jana nilipata ujumbe wa sms from AIRTEL kwamba wamezindua huduma yao kijiji Samunge Loliondo kwa Mchungaji Babu.Ndugu jamaa na marafiki sasa mtaweza kuwasiliana na jamaa zenu wanaokwenda kwa Babu kupata kikombe.
Hongera AIRTEL mko juu sana>Hongera Babu kama si wewe wanakijiji wa Samunge wangeisubiri huduma kwa karne nyingine mbili.
Babu ohoyeeeee.