yap ingekuwa vizuri kama ingeanzishwa thread yenye dondoo ya vitu vyote vilivyosemwa .!wadau, tunaomba link ya mdahalo kama ipo
yap ingekuwa vizuri kama ingeanzishwa thread yenye dondoo ya vitu vyote vilivyosemwa .!wadau, tunaomba link ya mdahalo kama ipo
Wishaful thinking, nna uhakika hakuna chama cha kibinaadam kitacho baki milele duniani, lakini kwa sasa CCM bado, hakuna upinzaani wa maana wa kukiua hivi karibuni. Wapinzani wenyewe ndio wale wanafanya "u chale" wakiwa bungeni? Unanchekesha!
Huyo kajichuria mwenyewe.
Nakumbuka katika kusherehekea miaka 75, Nyerere alisema hana sababu ya kufa kabla hajafika 100 kwani mama yake kafika.
Baada ya mwaka na alipokwisha jijua kuwa ana leukemia akabadili msemo akasema kisha pitisha muda wa kuishi ulioandikwa kwenye biblia.
Mungu hakajeliwi. Ni yeye tu ajuaye saa na dakika.
"Sitakufa kabla ya CCM kufa"Alisema babu mmoja kwenye mdahalo wa katiba mpya uliokuwa unarushwa live na ITV.
Alaaaa, sikujua huu mtandao katuletea JK. Duh! Ukipenda chongo.........Huyo Nyerere katupa nini? zaidi ya dhiki na njaa isiyo mfano, JK kakupa nini? leo unakaa kwenye mtandao raha mustarehe halafu unauliza kakupa nini?
<br />Please the get Babu clearly.<br />
<br />
The whole story and how the statemnt come about is....<br />
<br />
Babu kwa Busara alitaka kuonyesha ili kitu kipya kitokeee lazima kingine kife kwanza.<br />
<br />
Akatoa mfano wa MICHEZO: Ilikufa Sanderland ikatokea simba, ilikufa cosmopolitan ikazaliwa Yanga.<br />
<br />
Akatoa Mfano wa KIBAOLOJIA: Akaanza na kinyonga, Ili Kinyonga wa Kike mayai yake ayatage na kupata Vinyonga watoto lazima MAMA KINYONGA APASUKE NA KUFA ..na hapo mayai yake yanatoka...Mama lazima kupoteza uhai wake ili kizazi chake kiendelee. Akatoa mfano wa NGE lazima nge wa kiume akisha kutana na kufanya fertilasation na Nge wa Kike... Then baada ya TENDO hilo ..Ngewa kike lazima amgeukie nge wa kiume na KUMLA HADI AMMALIZE ...so nge wa kiume amekufa kwa ajili ya kuendeleza kizazi cheke...<br />
<br />
KAPIGILIA MSUMARI: Ili CCM izaliwe lazima TANU IFE..<br />
<br />
Then he came to his popular sentence; LAZIMA CCM IFE ili kizaliwe CHAMA KINGINE KWA AJILI YA WATANZANIA...NA akatoa uhakika kuwa CCM ITAKUFA KABLA YEYE HAJAFA!!<br />
<br />
Bottom line: LAZIMA KU SACRIFICE FOR THE NEW AND MEANIFUL DEVELOPMENT!!!!!<br />
<br />
NA KWAKE <b><font color="#ff0000">CCM MUST GOOOO!! Like TANU, Like Cosmo, Like Sanderland, Like Nge wa kiume, Like Kinyongo wa Kike!!!!</font></b> <br />
<br />
Just doing the summary of Babu ...!!! Dont hold me responsible in any way!!!!
hakuna aliyesema ccm imekufa...ila ipo kwenye process ya kufa na itakufa tu.....ni suala la muda tu!ccm haijafa bwana hapo ndio tunajidanganya alafu tunajisahau. Rais wao, jeshi lao, mwanasheria mkuu wao, tanesco yao. Sasa imekufa wapi? Tatizo kuna baadhi ya wabunge wa upinzani sisadiki wana msimamo wa kweli? Wengine baadae wananunuliwa mifano si ipoo. Big up anna kilango, ole sendeka,watoto mapacha wanafanana sana kwa muunekano na ndugu yao ccm but mitazamo yao ni tofauti...
Mzee hiyo ndio imekufa mwache FF angaike jf tena nataka yule mkwele afanyiwe kama mbarack wa Egypt.
ccm lazima ife ndio watanzania tujipatie katiba mpya, mzee wetu na nabii wetu ameshatutabiria kuwa hata kufa kabla ya ccm kufa! Na ukweli kwa hali ya ccm ilivyo sasa naifananisha na 'mzee mgonjwa' aliye zeeka kushinda hata mzee wetu wa leo! Hivyo mzee wetu hatakufa kabla ya sisi kufanya matanga ya chama cha magamba(ccm)
<br /> <br / tangu ccm ya wahuni ilipogeuza nyundo ni yakuwaua watanzania na jembe kuwachimbia makaburi tofauti na dhana nembo ya bendera ya ccm ilivyomaanishwa na nyerere kw jembe inawakilisha kilimo na nyundo kwa wafanyakazi. do you catch me??
umemuona BASHIRU ALLY?? Basi dadangu ukienda shule hata kidogo tu..utakuwa na fikra pevu kama zile! siyo kujifunika sura kama maninja na wengine kuishia kufuga ndevu nyingi na kuvaa vipedo!! uzuri ni kwamba ..upepo huu wa mabadiliko ni kama makokoro.....utawasomba hata nyinyi watumwa msiokubali kubadilka!
umemuona BASHIRU ALLY?? Basi dadangu ukienda shule hata kidogo tu..utakuwa na fikra pevu kama zile! siyo kujifunika sura kama maninja na wengine kuishia kufuga ndevu nyingi na kuvaa vipedo!! uzuri ni kwamba ..upepo huu wa mabadiliko ni kama makokoro.....utawasomba hata nyinyi watumwa msiokubali kubadilka!
Ubwabwa mtamu,Haitotokea hiyo, jaribuni muone!
Too low!Kafa Nyerere itakuwa CCM, mbona hamsemi na Mzee aliposema kuwa mnakosea kumfanya Nyerere kama Mungu wakati kisha kufa?
Sambusa marufuku!Na huyo Bashir Ally ni wa msalaba?