Ana frustration yule babu kacheza ujanani maisha yamempiga!
ahahaha....hivi yule ustaadhi aliyepata mic dakika za mwishoni akazungumzia kushirikishwa kwa chuo cha ccm cha kiislam morogoro ni malaria sugu au sokomoko?? mnaniacha hoi nyinyi watumwa!Huyo kajichuria mwenyewe.
Nakumbuka katika kusherehekea miaka 75, Nyerere alisema hana sababu ya kufa kabla hajafika 100 kwani mama yake kafika.
Baada ya mwaka na alipokwisha jijua kuwa ana leukemia akabadili msemo akasema kisha pitisha muda wa kuishi ulioandikwa kwenye biblia.
Mungu hakajeliwi. Ni yeye tu ajuaye saa na dakika.
CCM ife mara ngapi? Ukitaka kujua inakufaje fuatilia majimbo inayopoteza kila uchaguzi unzpofanyika
Huyu mzee ni mtabiri wakimataifa japo mungu ndo anajua ck ya kufa m2 lakini watanzania tnajua ck ilipokufa ccm
ahaha ...uliona mdahalo eeehn......sasa ule ndo mtazamo wa watanzania wengi tu wanyonge.....! ni suala la mda tu! hujanijibu swali ...yule ustaadhi aliyechangia kizushi kuhusu kushirikishwa kwa chuo cha ccm cha kiislam morogoro halafu akapotezewa kiaina ni malaria sugu au sokomoko?Wishaful thinking, nna uhakika hakuna chama cha kibinaadam kitacho baki milele duniani, lakini kwa sasa CCM bado, hakuna upinzaani wa maana wa kukiua hivi karibuni. Wapinzani wenyewe ndio wale wanafanya "u chale" wakiwa bungeni? Unanchekesha!
<br /> <br / tangu ccm ya wahuni ilipogeuza nyundo ni yakuwaua watanzania na jembe kuwachimbia makaburi tofauti na dhana nembo ya bendera ya ccm ilivyomaanishwa na nyerere kw jembe inawakilisha kilimo na nyundo kwa wafanyakazi. do you catch me??Liiiini?
<br />ahaha ...uliona mdahalo eeehn......sasa ule ndo mtazamo wa watanzania wengi tu wanyonge.....! ni suala la mda tu! hujanijibu swali ...yule ustaadhi aliyechangia kizushi kuhusu kushirikishwa kwa chuo cha ccm cha kiislam morogoro halafu akapotezewa kiaina ni malaria sugu au sokomoko?
umemuona BASHIRU ALLY?? Basi dadangu ukienda shule hata kidogo tu..utakuwa na fikra pevu kama zile! siyo kujifunika sura kama maninja na wengine kuishia kufuga ndevu nyingi na kuvaa vipedo!! uzuri ni kwamba ..upepo huu wa mabadiliko ni kama makokoro.....utawasomba hata nyinyi watumwa msiokubali kubadilka!Wishaful thinking, nna uhakika hakuna chama cha kibinaadam kitacho baki milele duniani, lakini kwa sasa CCM bado, hakuna upinzaani wa maana wa kukiua hivi karibuni. Wapinzani wenyewe ndio wale wanafanya "u chale" wakiwa bungeni? Unanchekesha!