Sisimizidume
Member
- Jul 13, 2015
- 97
- 14
Dah!, naona leo game la kagame ntacheki kwa aman saaaaaana.Lowasa oyeeeee!!!
Mkuu mimi hali ilikua tete kama sio baba yangu kunifariji basi mngekua mnakuja kunisalimia hospital.
Nilikua nahisi kama naota, sitaki kukumbuka zile kejeli Kikwete alizokua anamfanyia Lowassa kwenye ule mkutano mkuu.
Sasa tutamuonesha kwa kujaribu kuzuia chaguo letu wananchi.
Huku Yanga huku Lowassa. ..Dah!, naona leo game la kagame ntacheki kwa aman saaaaaana.Lowasa oyeeeee!!!
Mimi ilikua kidogo ni R.I.P! Penda Lowassa sana mimi.Mimi kidogo nipate pressure siku ile Mzee Lowassa amekatwa maana mawazo ya kukatwa mzee na huku mpenzi wangu tuligombana! yaan ilikuwa balaa sana...nimeamini pressure inaweza kukupata wakati wowote kama utashindwa kuji-control
team lowassa wako wapi!?
Akuna mtanzania mwemawazo ya ukanda wala ukabila subirini muone ccm ikifa kifo cha mendeTuache kabisa kuhubiri utengano,mkifanya hivyo ni kuonyesha wazi mlivyo wachanga katika game,na mwisho wake si mzuri.
watu wa kaskazini wana mtazamo wa mbali sana ndio maana collectively wana maendeleo kuliko jamii yoyote tz
Dah Watanzania na siasa za kibongo...
tuna pelekeshwa huku na huku kama kondoo vile, Sasa leo hata sijui nimpe kura yagu nani..Ni uchafu juu ya uchafu tu
Sio uchafu ndugu, soma nyakatiDah Watanzania na siasa za kibongo...
tuna pelekeshwa huku na huku kama kondoo vile, Sasa leo hata sijui nimpe kura yagu nani..Ni uchafu juu ya uchafu tu
kumbe mpo! safari inaendeleaKama hautuoni basi pole yako.