gsu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 3,461
- 711
View attachment 189135
Pichani Lowasa akiteta jambo na Steven Wassira mara baada ya kuahirishwa kikao cha Bunge Maalum la Katiba saa saba mchana leo. Nimemsikia Wassira akimtania Lowasa kuwa nimeona kupitia Jamiiforums harakati zako Kanda ya Ziwa. Lowasa akajibu kuwa tuyaache hayo.
Angalieni miguu ya lowasa ilivyo legea wakuu kama ametoka kuruka kichura punde kweli anaumwa.