Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,858
- 16,754
Vuuuuuppp!!!!
Naongea kwa uhalisia & hisia, kwa kutumia uzoefu, Bujibuji ataongezea, wanaume wengi akisha do na demu, ooohh...!! ndio mwanzo wa kuanza kumpiga chenga demu mara kibao, especially akimla wengine hata mara moja ikiwa ndio mwisho, tena wanaume husema ningejua wala nisingehangaika vile, kumbe wala huyu demu hana lolote, sometimes kimoyomoyo bila kunena, ila kwa upande wa mademu ndio kama anaanza kupenda, anategemea mwanaume ampende zaidi, ataona jamaa haeleweki kabisa, mara too busy, hii ni kweli kabisa, ukisha mtia demu, mara nyingi wanaume wanaanza mbele, na kumwona mwanamke thamani si kubwa kama kabla ya kumpata kwa sex, that is it
Naongea kwa uhalisia & hisia, kwa kutumia uzoefu, Bujibuji ataongezea, wanaume wengi akisha do na demu, ooohh...!! ndio mwanzo wa kuanza kumpiga chenga demu mara kibao, especially akimla wengine hata mara moja ikiwa ndio mwisho, tena wanaume husema ningejua wala nisingehangaika vile, kumbe wala huyu demu hana lolote, sometimes kimoyomoyo bila kunena, ila kwa upande wa mademu ndio kama anaanza kupenda, anategemea mwanaume ampende zaidi, ataona jamaa haeleweki kabisa, mara too busy, hii ni kweli kabisa, ukisha mtia demu, mara nyingi wanaume wanaanza mbele, na kumwona mwanamke thamani si kubwa kama kabla ya kumpata kwa sex, that is it