MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Mkiwaambia hayo mnatupa ugumu kutongoza...
Usihofu, wale wanaoongelewa hawapo hapa. Wako busy kule facebook, nenda huko.
Mkiwaambia hayo mnatupa ugumu kutongoza...
weeh acha tu afu wanatusema eti tunaringa! sasa hapa mtu anakanyagia 2 yrs ndo anapewa 1st kiss, another 1 yr ndo nanilii! kama hutaki chapa lapa, kwani inaoza!?
Karne ya leo? Vocha ya Tshs 1,000 tigo kisshaeleweka.
weeh acha tu afu wanatusema eti tunaringa! Sasa hapa mtu anakanyagia 2 yrs ndo anapewa 1st kiss, another 1 yr ndo nanilii! Kama hutaki chapa lapa, kwani inaoza!?
chochote kisichotumika huoza lol
hata hiko pia lol
U r very right, hata sisi huwa tunawakimbia wanaume baada ya kuchakachuana, hasa ukikuta kidude chenyewe kiduchu, ubunifu zero, mijasho kibao hata deodorant hajui ni nini ppheewwww!Tunaanza visingizio kibao, hadi njemba linajua halitakiwi ndio linaanza kusagia mdada kumbe lenyewe ndilo limetoswa!Ni kweli kabisa hasa ukikuta siyo mtamu basi ndo hurudii tena
kwi kwi kwi tena mijasho ya kikwapa mmh mapenzi haya!kazi ipo!U r very right, hata sisi huwa tunawakimbia wanaume baada ya kuchakachuana, hasa ukikuta kidude chenyewe kiduchu, ubunifu zero, mijasho kibao hata deodorant hajui ni nini ppheewwww!Tunaanza visingizio kibao, hadi njemba linajua halitakiwi ndio linaanza kusagia mdada kumbe lenyewe ndilo limetoswa!
Umeona eenh; yaani kitu kama hicho naboreka haraka, utakuta jamaa mwenyewe anajifanya brotherman chupi anavaa siku tatu! Halafu linakazana kwa nguvu, mijasho kibao, assumption yake kuwa pumping ndio maujuzi! Guys sex kwa mwanamke bila romance na emotion ni sawa na bia bila Kitimoto, ndio maana jamaa zangu wa Moshi huamua kusoma gazeti tu!kwi kwi kwi tena mijasho ya kikwapa mmh mapenzi haya!kazi ipo!
aiwezi kuoza bali ukiifungia kwa muda inakuwa!weeh acha tu afu wanatusema eti tunaringa! sasa hapa mtu anakanyagia 2 yrs ndo anapewa 1st kiss, another 1 yr ndo nanilii! kama hutaki chapa lapa, kwani inaoza!?
Una bahati kubwa, labda wasaidie wenzie wanaoachwa tena akionjwa mara moja mwanaume hageuki nyuma na cm not reacheable ww una mwonjeshaje baba Ngina hadi anang'ang'ania kama kupe kwako, plse mwaga maujuziPoeni, mimi kwangu wakionja ndio hawaruki, ninakuwa na kazi ya kuwabwaga... muulizeni baba Ngina!!!
aaaah wapi! sidanganyiki, kwanza ndo inazidi kuwa mupyaa! law of use and disuse haipo hapa,lol!
Hivi unapozungumzia utamu wa demu hasa hasa unamananisha nini? Nijuavyo huwa na psychological imitation ndiyo huwa inawasymbua watu, kudhani mwanamke yupo vile kumbe yupo hivi! Hii ukiiendekeza inakusumbua hata kwa mkeo na hutaona mwanamke mzuri kwako katika maisha wote watakuwa wabaya.Ni kweli kabisa hasa ukikuta siyo mtamu basi ndo hurudii tena