Mimi binafsi niseme hivi, hakika Nape na WanaCCM mlioko madarakani, hebu acheni propaganda namsome ukweli na uhalisia uliopo ulingoni. Hivi Tanzania ienendavyo ninyi inawafurahisha? Ufisadi unavyozidi hivi hata soni huna kuendelea kuvumilia upuuzi na wendawazimu wa serikali hii? wewe Nape, angalia kama unataka historia ije ikuhukumu vilivyo endelea kutetea system inayokufa huku ukijidanganya kwamab hizo ni propaganda za magazeti na vyombo vya habari tu.
kwa kweli sasa nawachukia kwa moyo wangu wote, kama kufa heri CCM ife hata leo kama inavyokufa arusha, Mwanza, Mbeya na maeneo mengine mengi. Mshauri wa CCM nahisi anaumwa ugonjwa wa kusahau, hata hajui kinachoendela. Nchi au chama kibovu huendelea kuamini kuwa kinaungwa mkono mpaka kinapoelekea kuzimu. Kumbukeni, KANU, na vyama vingi kusini mwa Afrika vilikoenda, Nikuhakishie tu tazama CCM yako in one year utasema mwenyewe, the wind of change is blowing strongly against any greenish colour, the people will reclaim what has always been taken by CCM and its clique of wealth amassing gluttons. Shame on you! madawa yanaoza huku hospitali hazina dawa, aibu nape aibu nape....!!!!!! CCM inayoshabikia walaji na waporaji wakuu mlaaniwe! Kipi nape unataka CCM iendelee kuungwa nacho mkono? kwa rahisi kwenda pikiniki na misafara chungu nzima? serikali kuwa na shirika la ndege ambalo hakuna ndege hata moja inayoruka? serikali kuwa omba omba kuliko hata somalia na Iraq? au kwa kipi, nusu ya wanafunzi wasekondari wanaopata sifuri? asilimia kumi na nane ya watoto wanaojiunga na sekondari wasiojua kusoma na kuandika? au kuwa na vyuo vikuu visivyo na walimu wakutosha? au kwa kipi hasa posho za wakubwa, richmond, agreco, au nini? mimi sijui, kwa mfumuko wa bei wa asilimia zaidi ya 30, au.. hapa nawambia hamtoki fanyeni kitu, bla bla zitawaangamiza hata kabla ya 2015. Mtaikimbia nchi! deni la nchi na mengine yawachefue hata kidogo basi! AU SIKIO LA KUFA NINI?
kwa kweli sasa nawachukia kwa moyo wangu wote, kama kufa heri CCM ife hata leo kama inavyokufa arusha, Mwanza, Mbeya na maeneo mengine mengi. Mshauri wa CCM nahisi anaumwa ugonjwa wa kusahau, hata hajui kinachoendela. Nchi au chama kibovu huendelea kuamini kuwa kinaungwa mkono mpaka kinapoelekea kuzimu. Kumbukeni, KANU, na vyama vingi kusini mwa Afrika vilikoenda, Nikuhakishie tu tazama CCM yako in one year utasema mwenyewe, the wind of change is blowing strongly against any greenish colour, the people will reclaim what has always been taken by CCM and its clique of wealth amassing gluttons. Shame on you! madawa yanaoza huku hospitali hazina dawa, aibu nape aibu nape....!!!!!! CCM inayoshabikia walaji na waporaji wakuu mlaaniwe! Kipi nape unataka CCM iendelee kuungwa nacho mkono? kwa rahisi kwenda pikiniki na misafara chungu nzima? serikali kuwa na shirika la ndege ambalo hakuna ndege hata moja inayoruka? serikali kuwa omba omba kuliko hata somalia na Iraq? au kwa kipi, nusu ya wanafunzi wasekondari wanaopata sifuri? asilimia kumi na nane ya watoto wanaojiunga na sekondari wasiojua kusoma na kuandika? au kuwa na vyuo vikuu visivyo na walimu wakutosha? au kwa kipi hasa posho za wakubwa, richmond, agreco, au nini? mimi sijui, kwa mfumuko wa bei wa asilimia zaidi ya 30, au.. hapa nawambia hamtoki fanyeni kitu, bla bla zitawaangamiza hata kabla ya 2015. Mtaikimbia nchi! deni la nchi na mengine yawachefue hata kidogo basi! AU SIKIO LA KUFA NINI?