Huyu ni mbwa koko anayebweka bweka hovyo lkn hawezi kung'ata,
leo ndo unagundua kuwa millya alikuwa mzigo????
Mtu yeyote makini na mzalendo hawezi kuvumilia kuwa chama cha magamba unless ana maslahi binafsi au anatumiwa na baadhi ya makundi ya watu kama wewe,
Nape fanya maamuzi magumu sasa hivi. ukichelewa itakuwa vigumu sana kukupokea. unavyozidi kukaa huko ndo unavyopoteza sifa za kuwa kamanda. fuata nyayo za mwenzako wa A town. ukombozi uko huku mazee. chelea mwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.