Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,239
- Thread starter
- #21
Ebu share na Nasi Hii MkuuIla azam hawatulii na bei zao
Ebu share na Nasi Hii MkuuIla azam hawatulii na bei zao
Ni kawaida mwanamke kujua akili za kike zikoje... sishangaiAkili za Kike Hizi
Mkuu hakuna soko huria ambalo haliko regulated, refer Kwa Ewura, Tcra nkHili Ni soko huria
Basi kalipie uwe miongoni mwa wasimuliaji wetu wa matukio uliyoyaona live. Sisi akina Mitomingi saizi tupo tunapukuta redio zetu zilizokuwa zimekoga vumbi kwa kutelekezwa😂😂😂Kuna mijitu inajibu Kama Haina akili
Basi kalipie uwe miongoni mwa wasimuliaji wetu wa matukio uliyoyaona live. Sisi akina Mitomingi saizi tupo tunapukuta redio zetu zilizokuwa zimekoga vumbi kwa kutelekezwa
Kila sekta ina utaratibu wake, kwenye sekta ya mawasiliano, TCRA, kwenye pay tv, hana mamlaka ya kumpangia mtoa huduma bei, ndio maana huwezi sikia eti dstv, anaambiwa shusha bei, kama ni zile local channels sawa, ndio maana ziko bure, lakini hizo kama za azamu za michezo serikali haiwezi kumpangia bei, kwani na yeye hizo haki anazinunua pia, bali ni soko ndio litamuongoza, ukiona itv, startv, chanel 10, eatv, umelipishwa piga kelele unaibiwa, lakini huko kwingine huna haki hiyo!!!So Kisa ni bizinezi za Watu basi wasiwe regulated? Sasa ni Wakati upi mlaji anakuwa secured na Serikali?
Hao jamaa wanakula tu pesa za ummaMkuu hakuna soko huria ambalo haliko regulated, refer Kwa Ewura, Tcra nk