Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 694
Wana Jamii
Kuna hawa jamaa wa Startimes wanatu tangazia kuwa tu lipie kifurushi cha Mambo cha 17,000/= ili kupata TV3 inayo onyesha Ligi ya NBC ambayo mimi nijuavyo Azam TV ndio wenye mkataba wa kurusha.. sasa Nashindwa kujua.. Tunaingizwa mkenge ili kulipia vifurushi aua hii TV3 watarusha Ligi nzima kweli?
Je kuna mabadiliko ya ule mktaba wa Azam wa kurusha wao tu.. au Startimes wana tutega tulipie vifurushi?
Kuna hawa jamaa wa Startimes wanatu tangazia kuwa tu lipie kifurushi cha Mambo cha 17,000/= ili kupata TV3 inayo onyesha Ligi ya NBC ambayo mimi nijuavyo Azam TV ndio wenye mkataba wa kurusha.. sasa Nashindwa kujua.. Tunaingizwa mkenge ili kulipia vifurushi aua hii TV3 watarusha Ligi nzima kweli?
Je kuna mabadiliko ya ule mktaba wa Azam wa kurusha wao tu.. au Startimes wana tutega tulipie vifurushi?