Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,238
Wakuu Chief Hangaya Anaupiga Mwingi.
Sasa Azam Tv Baada ya Kuona Wenzao Dstv wamepandisha vifurushi vyake mwezi Uliopita(Wa September) basi na wao AzamTv wamepandisha vifurushi vyake.
Kile kifurushi tulichokuwa tunalipia elfu20 Kwa ajili ya Kuona Mpira Wa Ligi Kuu sasa ni elfu25!
Kile cha Azam play tulichokua tunalipia elfu 28 Sasa ni elfu 35..
Je Shida ni Kodi na Tozo au shida Ni Nini?
All in All Tutafika tuu, Maana Hakuna tena mtetezi wa walaji wa mwisho.
R.I.P Mjuba Magu
Sasa Azam Tv Baada ya Kuona Wenzao Dstv wamepandisha vifurushi vyake mwezi Uliopita(Wa September) basi na wao AzamTv wamepandisha vifurushi vyake.
Kile kifurushi tulichokuwa tunalipia elfu20 Kwa ajili ya Kuona Mpira Wa Ligi Kuu sasa ni elfu25!
Kile cha Azam play tulichokua tunalipia elfu 28 Sasa ni elfu 35..
Je Shida ni Kodi na Tozo au shida Ni Nini?
All in All Tutafika tuu, Maana Hakuna tena mtetezi wa walaji wa mwisho.
R.I.P Mjuba Magu