Azam tv sio burudani kwa wote ni burudani kwa waturuki. Mnaboa sasa

Nilikuwa namaanisha wameshaonesha nyingi sana za hivyo na nimezitaja kwa majina so imetosha waweke za aina nyingine mana hatulipii kuangalia maudhui hayo hayo kila siku. VIPI HAPO PROUD TO BE BADO TUPO PAMOJA?
Sasa hapo inabidi ufanye juhudi kama si kubadilika wewe mwenyewe inabidi usubiri mpaka hapo Azam watakapoamua badilika wao,,Ile ni biashara yeye anaangalia majorities wanapenda nini kwa sasa,,inawezekana wenye maoni kama yako ni machache kati ya wale wengi,,vumilia au jikatae mbona hujashikiwa fumbo wala kulazimishwa kwanini unakua mbishi Dogo??
 
Sasa hapo inabidi ufanye juhudi kama si kubadilika wewe mwenyewe inabidi usubiri mpaka hapo Azam watakapoamua badilika wao,,Ile ni biashara yeye anaangalia majorities wanapenda nini kwa sasa,,inawezekana wenye maoni kama yako ni machache kati ya wale wengi,,vumilia au jikatae mbona hujashikiwa fumbo wala kulazimishwa kwanini unakua mbishi Dogo??
😂😂😂😂😂😂 Eti dogo, hv unanijua ee KUBWA
 
Azam tv washukuru wanarusha mechi za ligi kuu ya Tanganyika. Wasingekuwa na haki ya kurusha hizo mechi, aisee king'amuzi chao ningekigawa tu kwa wenye uhitaji.
 
Itv alituintroduce kwa wakorea sio mbaya na Azam achague kwake. Alafu tulishaangalishwa sana mapunga kwa wafilipino acha tuangalie mandevu na majambia sasa.
 
Me nikiona mwanaume anafaatilia zile tamthilia za kituruki zile ambazo zimeingizwa saut ya kiswahil, namtoa maanani kwa kweli
Nalipia kingamuzi kwa ajili ya mpira tu ayo mambo ya tamthilia namuachia wife na watoto.
Kuna mwanaume leo nimeona anaangalia tema kwenye simu yake..😁😁😁 Ndo nikaamini wanaume kama.mabinti ni wengi sana
 
Kwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana zinajirudia rudia tu kuanzia visa mpk wahusika.

Hv kuna tofauti gani Kati ya Ertugurul, The Othoman, Barabarosa na Alpasaran? Zote ni mapanga na mishale, zote wahusika wakuu wanaua wahusika 1000 wakati wao wako watatu, Zote wahusika wakuu hata wapigwe risasi hawafi lkn wengne mlio wa risasi tu wanakata kauli, Zote wanawake wa wasioamini (Kwa mujibu wao) wanabadili dini kuolewa na wahusika wakuu, Zote zinapigania haki na kuushinda Ukristu, Zote lengo ni moja.

Twende kwa wahusika.. Achana na kujirudia kwa Ertugurul mpk Baba Oruc kuna kale katoto mara Kaitwe Melisa kwenye Melisa,Pelin kwny Husband Family,Okyu kwny Kizim.. Yani muhusika mmoja ikiisha tamthiliya hii inakuja nyinge yy ndo mhusika mkuu kla sku. INACHOSHA SIO BURUDANI TENA

Saa moja tamthiliya ya Kituruki, Saa 3 ya Kituruki, Saa 4 ya kituruki kwani hakuna mataifa mengne yenye tamthiliya za maana mkafasili mkatuwekea tuburudike km ilivyokuwa kwa Ruby Ring? (Nadhani ndo tamthiliya pekee isiyo ya Kituruki kuruka pale Azam Two sa 3 Usiku.

Wakuu km mmeingia ubia na Uturuki semeni tutafute ving’amuzi vingine! Uturuki tushaijua na dini tushaijua pia.

OVER.
Tiktok ndio suluhisho la hawa wajinga wote dstv, azam na wapumbavu wengine
 
Kwa sisi wapenzi watazamaji wa Azam Tv wapenzi wa tamthiliya hasa pale Azam Two hakuna tena burudani kwa wote bali burudani kwa Waturuki. Tamthiliya zinazorushwa na Azam Tv zinachosha mana zinajirudia rudia tu kuanzia visa mpk wahusika.

Hv kuna tofauti gani Kati ya Ertugurul, The Othoman, Barabarosa na Alpasaran? Zote ni mapanga na mishale, zote wahusika wakuu wanaua wahusika 1000 wakati wao wako watatu, Zote wahusika wakuu hata wapigwe risasi hawafi lkn wengne mlio wa risasi tu wanakata kauli, Zote wanawake wa wasioamini (Kwa mujibu wao) wanabadili dini kuolewa na wahusika wakuu, Zote zinapigania haki na kuushinda Ukristu, Zote lengo ni moja.

Twende kwa wahusika.. Achana na kujirudia kwa Ertugurul mpk Baba Oruc kuna kale katoto mara Kaitwe Melisa kwenye Melisa,Pelin kwny Husband Family,Okyu kwny Kizim.. Yani muhusika mmoja ikiisha tamthiliya hii inakuja nyinge yy ndo mhusika mkuu kla sku. INACHOSHA SIO BURUDANI TENA

Saa moja tamthiliya ya Kituruki, Saa 3 ya Kituruki, Saa 4 ya kituruki kwani hakuna mataifa mengne yenye tamthiliya za maana mkafasili mkatuwekea tuburudike km ilivyokuwa kwa Ruby Ring? (Nadhani ndo tamthiliya pekee isiyo ya Kituruki kuruka pale Azam Two sa 3 Usiku.

Wakuu km mmeingia ubia na Uturuki semeni tutafute ving’amuzi vingine! Uturuki tushaijua na dini tushaijua pia.

OVER.
Hao wapuuzi nilishaachana nao kitambo, nje ya soka la bongo hakuna content ya kufanya ulipie 25k+. Tamthilia zinajirudia mno na zote mlengo ni uleule (kusambaza uislam) japo sina shida na hilo ila shida ni story kufanana! Azam wamekosa ubunifu
 
Back
Top Bottom