Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 11,006
- 22,758
Umenidhihaki bila sababu ndgu yangu.Soma uzi uelewe kka mkubwa ushakula za uso kwa kujibu usichoelewa.. weka mbali komwe ilo utaumia
Nimequote reply ya elijaah ndio nilioijibu, huo uzi wako wala sijaugusia.
Komwe langu (japo ni kubwa mno) linahusiana vipi na uzi wako?
Nitake radhi bw. mdogo