Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Kumbe unaweza kumpenda mtu kwa Avatar yake?
kumbe unaweza kumpenda mtu kwa avatar yake?
sio mimi ni avatar hapo imependwa lol
Kwako ze boss, Natumaini umzima na unajiandaa vema na weekend! Isingekuwa mbaya kama ningekualika futari siku moja tukiwa na familia yangu pamoja na mme wangu mpendwa! Nia hasa ya message hii naomba uirudishe avatar yako ya zamani kabla ya hii ya sasa, maana kila nikiiona nahisi nimemuona mme wangu mpendwa! Good day na Ramadhan Kareem. Jamani msiniparamie mtatengua swaumu yangu bure nimefunga mie
yaani wewe....lol
these days you sound like my secretary who knows too much
about my bussiness lol
i will have to fire you soon lol
lmao........
im glad i am nt u! yaani mumeo looks like this?
u shld start a modeling co,lol!
muulize the boss pm box yake, kila siku ina-jam,hehehe
Hivi king'asti inakuwaje mtu ana fall na avatar ya mtu? je huyo mtu akiamua kumpenda wakakutana akawa kiktu cha ajabu anafanyaje kwa mfano,au ndio mambo ya kuweka mfano wa picha? hahaaaaahahaim glad i am nt u! yaani mumeo looks like this?
u shld start a modeling co,lol!
muulize the boss pm box yake, kila siku ina-jam,hehehe
Hivi king'asti inakuwaje mtu ana fall na avatar ya mtu? je huyo mtu akiamua kumpenda wakakutana akawa kiktu cha ajabu anafanyaje kwa mfano,au ndio mambo ya kuweka mfano wa picha? hahaaaaahaha
Your wifi LIKES in red....lol
Kinga'sti utasutwa wewe lol
Hivi mtoa mada kaenda wapi kwani?wonders will never cease, sweetheart! kama mtu anaweza kudondokea namba tu ya simu na kung'ang'ana kuonana! there ar freaks out there,lol
Hivi mtoa mada kaenda wapi kwani?
mie napendaga comments zake,sio avatar......avatar hata akiweka ya kizee bado comments zake zitanizuzua!
Hivi king'asti inakuwaje mtu ana fall na avatar ya mtu? je huyo mtu akiamua kumpenda wakakutana akawa kiktu cha ajabu anafanyaje kwa mfano,au ndio mambo ya kuweka mfano wa picha? hahaaaaahaha
mie napendaga comments zake,sio avatar......avatar hata akiweka ya kizee bado comments zake zitanizuzua!
Asante kwa comment nzuri..
Swali moja tu.
Je wapenda jinsi Danzel Washington
Alivyo au anavyo act??
AD, by denzel washngton unamaanisha the boss ama denzel wa kwenye video? lol!