sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahahaha! You made my dei!... Bado tu bakuli linatembezwa?..lol..Mwenyewe nilikuona juzi ulivokuja SA kutembeza bakuli,na ulivokua kwenye
kikao cha kuvuana magamba kule dodoma
Hahahaha! You made my dei!... Bado tu bakuli linatembezwa?..lol..Mwenyewe nilikuona juzi ulivokuja SA kutembeza bakuli,na ulivokua kwenye
kikao cha kuvuana magamba kule dodoma
<br />Nialike na mimi nije kunywa uji!
Chukua avatar hiiKwako ze boss, Natumaini umzima na unajiandaa vema na weekend! Isingekuwa mbaya kama ningekualika futari siku moja tukiwa na familia yangu pamoja na mme wangu mpendwa! Nia hasa ya message hii naomba uirudishe avatar yako ya zamani kabla ya hii ya sasa, maana kila nikiiona nahisi nimemuona mme wangu mpendwa! Good day na Ramadhan Kareem. Jamani msiniparamie mtatengua swaumu yangu bure nimefunga mie
thanx
sikujua ile avatar ilikuwa na fans wengi
wewe karibu wa tano kuniamiba hivi lol
yaani.......
katika vitu ambavyo sifikirii kufanya katika maisha yangu yote ni kubadili avatar yangu. labda Mods waichoke, siku hiyo ndo mwisho wa kuwa member JF, teh teh teh teh teh teh..
Bado sijahamasika the boss, mie ileile
Du watu kama avatar hii ukukutana nao utacheka mpaka siku ya mwisho duniani.Chukua avatar hii
Itakufanya umsahau kabisa sweetie wako