Augustine Mrema Atunukiwa PhD

Hata ukiwa fisadi sana ndani ya magamba wakawa wanakutegemea watakuita dakta, kama ile ya mkulu wao.
 
Jamani Hivyo vyuo vipo wapi vya Kutoa PhD za Heshima!Mie Mkweche napenda sana Kuitwa Dr.Mkweche,PhD
Walau nijue vigezo
 
Hata Ngeleja anahitaji kupewa PHD kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kuwaweka watanzania kwenye giza kwa muda wa masaa 18 kwasiku haijawahi kutokea hii anahitaji pongezi.
 
Bado kitambo kidogo hata TAMBWE HIZA naye atatunukiwa PhD
Mkuu hapo (in red) nimecheka saana. Kumbukeni ni wabunge, hasa speaker na wenyeviti wa chama cha magamba ndiyo wameamua kumpa hiyo fake tilte. Kumbuka Mrema, Cheyo na Cuf wote ni bitches na mawakala wa ccm. Kwa hvyo tarajia phds nyingi sana mwaka huu onwards emanating from chama cha magamba.
 
ahahahahahahaaaa!

Muhosni na Waberoya inabidi mtoe ufafanuzi kidogo.
Napata wasiwasi thread ya jana ilikuwa inatuandaa na sherehe za udaktari leo!!!

Otherwise inamstahili kwa aliyofanya kwa Tanzania akiwa Home Office/PM deputy.
Naweza kusema anastahili mara 100 kuliko Dr, Dr, Dr, Dr JK.

Hongera Dr. Agustino Mrema
Jamani Dr. JK Mbona anastahili? naomba niwakumbushe kuwa amewasuluhisha wakenya ambao walikuwa wanauana! si kazi rahisi, kumbukeni viongozi mahili wa Africa akiwemo KA walishindwa!
 
Naona mzee wa Kiraracha ametunukiwa PhD ya heshima, kwa kile kilichoelezwa kutambua mchango wake katika jamii! Ngoja niongeze uzalishaji wa mahindi shambani mwangu niokoe watanzania wasife njaa, huenda nami nitatambuliwa!
Katunukiwa na chuo gani mkuu?
 
Ilo la ngeleja naona nalo neno amefuzu kwenye suala zima la kuleta giza kwa watanzania na kudororesha uchumi wa nchi
 
ni sifa zp unazotakiwa kuwa nazo upate phd ya heshima?
<br />
<br />
Sifa ya kwanza uwe kilaza alafu usiwe mpingaji hata kama unapelekwa shimoni we kubali tu, hata ukiambiwa umeshiba wakati una njaa we kubali tu hapo utaipata chap chap.
 
Jamani Dr. JK Mbona anastahili? naomba niwakumbushe kuwa amewasuluhisha wakenya ambao walikuwa wanauana! si kazi rahisi, kumbukeni viongozi mahili wa Africa akiwemo KA walishindwa!
<br />
<br />
mbo mnampa sifa zisizomfaa? Ule mgogoro ulitatuliwa na anan,ben na graca. Mzee wa mbayuwayu alihudhuria lart dy kama chair wa au.mbona kila cku 2nasema lakn hamuelewi?
 
[Bila shaka atakuwa ametunukiwa na UDOM<!-- google_ad_section_end -->]<br>Sio rahisi kama unavyofikiri mkuu,labda Hombolo
 
Jamani hivi Mrema udoctor kaupata lini na wapi? Mbona jamani tunachezea sana hizo tittle adimu jamani? Hivi hawa viongozi vihiyo no lini wataacha kupenda maujiko kwa kujipachika matittle makubwa hivi ilihali elimu zenyewe ni za kuungaunga na kudesa? Inakera sana hata masikioni kusikia wakiitana hayo majina. Nchi tunaelekea wapi jamani????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom