Mkuu hapo (in red) nimecheka saana. Kumbukeni ni wabunge, hasa speaker na wenyeviti wa chama cha magamba ndiyo wameamua kumpa hiyo fake tilte. Kumbuka Mrema, Cheyo na Cuf wote ni bitches na mawakala wa ccm. Kwa hvyo tarajia phds nyingi sana mwaka huu onwards emanating from chama cha magamba.Bado kitambo kidogo hata TAMBWE HIZA naye atatunukiwa PhD
Jamani Dr. JK Mbona anastahili? naomba niwakumbushe kuwa amewasuluhisha wakenya ambao walikuwa wanauana! si kazi rahisi, kumbukeni viongozi mahili wa Africa akiwemo KA walishindwa!ahahahahahahaaaa!
Muhosni na Waberoya inabidi mtoe ufafanuzi kidogo.
Napata wasiwasi thread ya jana ilikuwa inatuandaa na sherehe za udaktari leo!!!
Otherwise inamstahili kwa aliyofanya kwa Tanzania akiwa Home Office/PM deputy.
Naweza kusema anastahili mara 100 kuliko Dr, Dr, Dr, Dr JK.
Hongera Dr. Agustino Mrema
Katunukiwa na chuo gani mkuu?Naona mzee wa Kiraracha ametunukiwa PhD ya heshima, kwa kile kilichoelezwa kutambua mchango wake katika jamii! Ngoja niongeze uzalishaji wa mahindi shambani mwangu niokoe watanzania wasife njaa, huenda nami nitatambuliwa!
<br />ni sifa zp unazotakiwa kuwa nazo upate phd ya heshima?
<br />Jamani Dr. JK Mbona anastahili? naomba niwakumbushe kuwa amewasuluhisha wakenya ambao walikuwa wanauana! si kazi rahisi, kumbukeni viongozi mahili wa Africa akiwemo KA walishindwa!
<br />ni sifa zp unazotakiwa kuwa nazo upate phd ya heshima?
<br />Bila shaka atakuwa ametunukiwa na UDOM
Sijakipata vizuri hicho chuo kilichompa udaktari!