Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Habari zenu woooote...........
Asprin, Kaizer na group yenu nimefundishwa dawa ya hang over jana toka maeneo fulani..........
Ukiamka nazo chukua Maziwa mtindi + Fresh Apple katakata ndani yake kunywa kwa pamoja unakuwa freeeshh huna haja ya supu
Muwe na siku njema (Mie nimejaribu leo nikawa bomba mbaya)
Asprin, Kaizer na group yenu nimefundishwa dawa ya hang over jana toka maeneo fulani..........
Ukiamka nazo chukua Maziwa mtindi + Fresh Apple katakata ndani yake kunywa kwa pamoja unakuwa freeeshh huna haja ya supu
Muwe na siku njema (Mie nimejaribu leo nikawa bomba mbaya)