King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Tumia hela ikuzoee wewe! Yaani kata mayi kufashi ya kinshansa! Kama hela ya mawazo bora uache kabisa kunywa labda Mungu atakuona. Leo nikupe ofa?
Sijashangaa kulewa
Nimeshangaa katikati ya wiki, kama ni kweli