Ngixolele Umoya
Senior Member
- Mar 26, 2017
- 108
- 142
Hakika
Not my call palTuliza wenge, kujua ngeli sio ujanja karne hii. Ngeli doesnt make you smart
...wewe ndo unasajili toba na misamaha !?Kwenu ccm na vibaraka wa kujipendekeza Mungu sio wa mzaha hata kidogo ana utaratibu wake.
Kwa ufupi kama hujatubu na kuungama dhambi na kuziacha hata uombewe na nanii ni kazi bure
Sasa kila siku unataka uombewe na unazungula kuomba uombewe ikimaanisha toka uanze kuonbewa hujajibiwa ndio maana unasisitiza kuombewa.
Formula ya Mungu hasa kwa imani ya kikristu kama hujatubu maombi yako ni bure unapoteza mda tu.
Sasa jana umekumbushwa kuwa unatakiwa utubu naona kuna watu wameibuliwa kusikojulikana na matusi na kebehi bila kuelewa lengo ni lipi ila kwa kuwa katajwa mtu fulani anayependa sifa na utukufu imekuwa nongwa.
Mungu hadhihakiwi
Luka 13.3 - Kama hawakutubu, hivyo kupotea wote.
Alichokifanya ni kuwakumbusha kanuni za kibiblia kuhusu kuombewa. Kwamba lazima upate toba ndio maombi ya watu au yako yapokelewe....wewe ndo unasajili toba na misamaha !?
Mwisho wao ufike mara ngapi mkuu?Askofu huyu aliwahi tusadikisha kuwa Rais Kikwete na CCM wamefika mwisho na akatoa ushahidi wa barua yenye nukuu ya maneno ya 'mungu' kwa rangi nyekundu. YALITOKEA?.... mtawajua kwa matendo yao...!
Kwenu ccm na vibaraka wa kujipendekeza Mungu sio wa mzaha hata kidogo ana utaratibu wake.
Kwa ufupi kama hujatubu na kuungama dhambi na kuziacha hata uombewe na nanii ni kazi bure
Sasa kila siku unataka uombewe na unazungula kuomba uombewe ikimaanisha toka uanze kuonbewa hujajibiwa ndio maana unasisitiza kuombewa.
Formula ya Mungu hasa kwa imani ya kikristu kama hujatubu maombi yako ni bure unapoteza mda tu.
Sasa jana umekumbushwa kuwa unatakiwa utubu naona kuna watu wameibuliwa kusikojulikana na matusi na kebehi bila kuelewa lengo ni lipi ila kwa kuwa katajwa mtu fulani anayependa sifa na utukufu imekuwa nongwa.
Mungu hadhihakiwi
Luka 13.3 - Kama hawakutubu, hivyo kupotea wote.
Mithali 28.13 - ambao inashughulikia makosa yake hatafanikiwa, lakini kila mtu anayekiri hadharani na kuhama yao utakuwa huruma.
Warumi 6,15-16 - Naam, sisi dhambi wakati sisi si chini ya sheria bali chini ya neema? Hakuna njia! Je, hamjui kwamba wakati kumtumikia mtu, una kumsikiliza? Wewe kuwa watumishi, wanao kusikiliza, kama wa dhambi ni kifo, au utii na haki.
Si mnapenda mafundisho ya yule mchungaji mlevi wa pale Ubungo riverside kwa ndani maana akimsifia sizonje wenu hamropoki hiviiWho the hell is Kakobe!?
Atulize mshono,na ale sadaka za misukule yake!
Goddamn it!
povu debeSawa tumemuelewa 2020tutamchagua mbowe
Hata akitubu hutajua! Kwa mujibu wa dini yake anatubu kwa siri siyo hadharani kama wafanyavyo wengine!Tuwe tunawaza mbali,hivi kwa mtu anayempenda raisi,au hata wanaojifanya tu wanampenda kwa tabasamu la upande,wangetafakari kwanza.
Kwani raisi hawezi kutubu?(nasisitiza raisi sijasema tofauti)
Najua kwa wema tu hata yeye anahitaji mombi anayoombewa yajibiwe.
OVA.