Sijakuelewa kidogo..kwa hiyo Askofu kilaini amemtetea Sumaye ambaye yupo chadema??au Sumaye ambaye yupo CCM..mi naona kama umekurupuka vile ku analyse..mana aliye comment kuhusu posho ni Sumaye mwana CCM damu damu...biased.
mkuu mbona Kilaini yuko straight sana kwani hajaongelea upande wa itikadi ila alichosema kosa la mtu moja halifutwi na kosa la mtu mwingine. Kama bunge lilifanya kosa kwenye posho au la ndugai alitakiwa kutoa ufafanuzi siyo kusema mbona hata sumaye alifanya vivyo hivyo