Askofu Kilaini: Ndugai jibu hoja

Maaskofu wanaowashambulia viongozi wanaochemsha ndani ya Serikali nadhani wako sahihi! ila sikubaliani nao pale wanaposhabikia na kutetea kauli za baadhi ya viongozi wa chama kimoja cha upinzani wakati nchi hii ni kuna vyama vingi vya kisiasa! hapa Maaskofu wanaonyesha unafiki kwa kushabikia Chadema tu!!

Tumeshuhudia kila anapoongea kiongozi wa Chadema kumlaumu Kiongozi Serikalini na kujibiwa basi anaefuata kutetea kauli za kiongozi huyo wa CDM anakuwa ni Askofu!!!

Sasa nauliza Maaskofu wao wameamua kushabikia na kutetea Chadema? jee, Mashehe na Maimamu nao wakiamua kuwa upande wa NCCR au TLP itakuwa ni kosa!

Ushauri wangu wa bure kwa Mababa Askofu nawaomba wabaki Makanisani kuchunga Kondoo wao kwani siasa imewashinda kwa kuamua kuwa wasemaji na watetezi wa Chadema!!!

Lakini hata masheikh hawakatazwi kutetea hoja makini za CDM. Na wanapaswa kutambua Slaa sio kiongozi wa dini japo zamani alikuwaga padri na baadaye akatuhumiwa hadi kuchakachua mke wa mtu. Kwa 'dhambi' hiyo nadhani masheikh wamuunge mkono Slaa maana hana tofauti nao wenye kuchakachua hadi kina mama 4 hivi. Simaanishi mapadri hawachakachui, wapo na hata masheikh na maimamu wapo, lakini yanapokuja maslahi ya nchi tunaangalia nani anatutoa hapa hadi kule!!!! Masheikh walimwamini Nyerere 1958 na sasa wanapaswa kumwamini mtu wanayemwona anafaa 2015 bila kujali itikadi ya didi.
 
Maaskofu wanaowashambulia viongozi wanaochemsha ndani ya Serikali nadhani wako sahihi! ila sikubaliani nao pale wanaposhabikia na kutetea kauli za baadhi ya viongozi wa chama kimoja cha upinzani wakati nchi hii ni kuna vyama vingi vya kisiasa! hapa Maaskofu wanaonyesha unafiki kwa kushabikia Chadema tu!!

Tumeshuhudia kila anapoongea kiongozi wa Chadema kumlaumu Kiongozi Serikalini na kujibiwa basi anaefuata kutetea kauli za kiongozi huyo wa CDM anakuwa ni Askofu!!!

Sasa nauliza Maaskofu wao wameamua kushabikia na kutetea Chadema? jee, Mashehe na Maimamu nao wakiamua kuwa upande wa NCCR au TLP itakuwa ni kosa!

Ushauri wangu wa bure kwa Mababa Askofu nawaomba wabaki Makanisani kuchunga Kondoo wao kwani siasa imewashinda kwa kuamua kuwa wasemaji na watetezi wa Chadema!!!
Hebu toa mfano! Usituletee utumbo hapa ambao hauna utafiti wowote! Maoni yako yana mantiki iliyosheheni wivu na umbeya wa kike! Ni vema ukanyamaza iwapo huna cha kusema!
 
Kwa kauli ile ya Ndugai nilitegemea kuona au kusikia wana Kigamboni wakiongozwa na mbunge wao na wabunge wa Dar es Salaam wakiipinga kwa nguvu zote na kupeleka malalamiko yao kwa waziri mkuu na hata kuandamana...au wakuwa kinachotetewa ni posho ndiyo maana wapo kimya?
 
Even a fool when he holds his peace is considered wise; when he closes his lips he is esteemed a man of understanding.

Shame on you Ndugai.
 
Kwa wote wanao dhani viongozi wa dini hawana la kusema juu ya siasa wanakosea na hawajashirikisha ubongo! Wanadam wote tuliumbwa kwa makusudi ya kumtumikia Mungu na si shetani! Serikali ni chombo cha watu, hivyo viongozi wote wa serikali wako kwa ajili ya kutimiza mpango wa Mungu! Viongozi hawa hawa wanasehemu zao za kuabudia hivyo wanatambua matakwa ya mungu! Kwanini wasionywe wanapokosea?? Turudi enzi za manabii na mitume, je, hawakuwaonya watawala?? MUSA vs FARAO, DANIEL vs NEBOKARDNEZA, n.k. Ukisoma vitabu vitakatifu utaona ni kwa namna gani manabii na mitume waliwakosoa hadharani viongozi wa serikali wa wakati huo mpaka wengine wakaamuliwa kuuwawa,mf.YOHANA MBATIZAJI na HERODE! Kwa hiyo msidhani kwamba viongozi wa dini watakaa kimya huku uozo serikalini ukiendelea! Ni wajibu wao waKIMUNGU kuonya na kukalipia viongozi wote wa serikali wanapokosea! Serikali haiongozwi na wanyama,bali watu wenye wajibu wa kumtumikia Mungu!
 
I conquer with the views of method kilaini [askofu], wakina ndugai na benson bana wana mawazo ya kimasaburi, masaburi hivyo tuwapige chini.
 
Maaskofu wanaowashambulia viongozi wanaochemsha ndani ya Serikali nadhani wako sahihi! ila sikubaliani nao pale wanaposhabikia na kutetea kauli za baadhi ya viongozi wa chama kimoja cha upinzani wakati nchi hii ni kuna vyama vingi vya kisiasa! hapa Maaskofu wanaonyesha unafiki kwa kushabikia Chadema tu!!

Tumeshuhudia kila anapoongea kiongozi wa Chadema kumlaumu Kiongozi Serikalini na kujibiwa basi anaefuata kutetea kauli za kiongozi huyo wa CDM anakuwa ni Askofu!!!

Sasa nauliza Maaskofu wao wameamua kushabikia na kutetea Chadema? jee, Mashehe na Maimamu nao wakiamua kuwa upande wa NCCR au TLP itakuwa ni kosa!

Ushauri wangu wa bure kwa Mababa Askofu nawaomba wabaki Makanisani kuchunga Kondoo wao kwani siasa imewashinda kwa kuamua kuwa wasemaji na watetezi wa Chadema!!!

Kadogoo, mbona umekurupuka hivyo? Sidhani kama Sumaye amejiunga na chadema. Hebu tulia na kufikiri upya utagundua kuwa Askofu anamtetea Sumaye ambae ni mwana CCM!
 
Maaskofu wanaowashambulia viongozi wanaochemsha ndani ya Serikali nadhani wako sahihi! ila sikubaliani nao pale wanaposhabikia na kutetea kauli za baadhi ya viongozi wa chama kimoja cha upinzani wakati nchi hii ni kuna vyama vingi vya kisiasa! hapa Maaskofu wanaonyesha unafiki kwa kushabikia Chadema tu!!

Tumeshuhudia kila anapoongea kiongozi wa Chadema kumlaumu Kiongozi Serikalini na kujibiwa basi anaefuata kutetea kauli za kiongozi huyo wa CDM anakuwa ni Askofu!!!

Sasa nauliza Maaskofu wao wameamua kushabikia na kutetea Chadema? jee, Mashehe na Maimamu nao wakiamua kuwa upande wa NCCR au TLP itakuwa ni kosa!

Ushauri wangu wa bure kwa Mababa Askofu nawaomba wabaki Makanisani kuchunga Kondoo wao kwani siasa imewashinda kwa kuamua kuwa wasemaji na watetezi wa Chadema!!!

Mkuu Kadogoo, Samahani ninaomba unikumbushe tafadhali.
Hivi Mhe. Sumaye Frederick ana wadhifa gani vile ndani ya CHADEMA? Kumbukumbu zangu zimepotea kidogo!!!
 
hivi dr bana alisoma wap mbona ana upeo finyu! Cku zao zinahesabika hawa ngvu ya uma tutakamata hatam haf cjui watajifcha wap.
 
i am always against viongozi wa dini kujiingiza kwenye siasa hata kama anachokizungumza kina ukweli ndani yake!

Maisha magumu hayawahusu viongozi wa dini? Viongozi wa dini sio wananchi? Tumia akili yako kufikiri.
 
Hivi mnamzungumzia kanaibu spika kale kagogo kanakotoka kongwa?!? Mbona mnapoteza muda wenu bure tu.
 
Huyu Kilaini si ndio alisema JK ni chaguo la MUNGU??

....Ameshagundua kwamba alifanya makosa na kugundua Kikwete ni chaguo la mafisadi ila anahofia kutamka hadharani kwa kuwa wanaweza kumlambisha sumu.
 
NAmpongeza Askofu Kilaini, ila jamani kwanini kuna watu wana mawazo na mitizamo ya ajabu kweli, kwao jambo lisemwa hata kama ni la maana, hawaangalie mantiki yake ila nani kasema, kama hapa kuna watu wameanza kutokuangalia mchango wa Kilaini ila anatokea kundi lipi, kwa hali hii hawa wataendlea kuturudisha nyuma kila siku.
 
Back
Top Bottom