zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,099
- 28,785
Mkuu shida huyo padri anaongelea maadili ndio nkuulize na wwe mtetezi je kma ni maadili kwanni msitimue wasio bikra????Wewe siyo Mkristu au akili yako ina walakeen. Unataka wasichana 770 wazae mara saba saba? If you kill once, you cannot kill him again. Kuua watu 7 mara 70 so mtu mmoja ni watu 500. Biblia haikusema hivyo.
Kma katoliki wako serious na maadili mbona wanfungisha ndoa hata ya asiye bikra??? Aliyezaa????
Nijibu hayo mawili