Lussadam
JF-Expert Member
- Oct 13, 2007
- 1,295
- 835
Mi mwenyewe napinga hili.Mbona kule Ulaya na Marekani kuna maPadre walikuwa wanawapumulia vijana wadogo,wengi wakiwa wanakondoo na misamaha ikatolewa kwa hao wahalifu??? Yaani ni kujipendekeza tu kwa utawala bila kuangalia athari zake kwa jamii.Afadhali kukaa kimya hata kama ndo msimamo wa kanisaMimi ni mkatoliki na hivyo sikubaliani kabisa na matamko ya huyu askofu kwa sababu anapotosha watu sabb ya kiherehere cha mtafuta kiki kwa piki2 ukisoma kitabu cha maandiko matakatifu cha mathayo 18; 21-35 inaelekeza wazi ni jinsi gani wanadamu wanavyopaswa kusamehana na kumwachia mungu atoe hukumu kwa matendo mabaya.
Sent using Jamii Forums mobile app