Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wana jf nimefurahi kuona wengi walikuwa makini kuwataja watu na kwa upande mwingine hongereni kwa kusaidia kubadilisha tabia za watu...ila nafikiri tuangalie wenyewe kwanza mwenye uhakika ajawahi kuzini yaani kutoka nje ya ndoa au nje rel ship yake
na aaanze kutaja jina lake na namba zake tuanze kupongezana humubadala ya kukaa na kuapakana huku tukiwa wachafu
nawasilisha
na aaanze kutaja jina lake na namba zake tuanze kupongezana humubadala ya kukaa na kuapakana huku tukiwa wachafu
nawasilisha