Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Aisee nyie acheni kujidanganya....hakuna asiye cheat bana.....
mtu anayeangalia mapicha machafu naye anacheat?
kumbe mada hii zilianza zamani eeeh?
Acha ku CHEAT, nimeacha kabisa mambo ya mahusiano baada ya ukimwi kuingia na kukosa mwenza muaminifu.