Asilimia 70 ya msafara wa Rais Samia nchini India ni Wasanii, akina Steve Nyerere

Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
Kila kundi la watu ndani ya Nchi hii, linastahili kupewa heshima na viongozi wa Nchi, na hicho ndicho Rais alichofanya

Ni mara ya kwanza kwa Wasaanii wengi kuwepo kwenye msafara wa Rais na hivyo Mh. Rais amefanya vizuri hawatakuja walalamike tena huko mbele ya safari iwapo kama itakuja kutokea wasipate tena nafasi ya namna hii

Hii Nchi ni yetu sote na usije ukashangaa siku moja Mh. akaamua kukuchukua wewe au mimi.

Watanzania tupendandeni, mithili ya mzee Mapesa alivyokuwa akisisitiza enzi zile za UDP MAPENDO
 
Ili tusijue hili ni jungu ingekuwa vyema ukaonyesha orodha ya walikuwa katika huo msafara
Hata wangekuwa 200, bado huyu mtu hana hoja. Tatizo labda ni mtu kuwaonea wivu wasanii kuwaona wanaambatana na mtu mkubwa namba moja nchini. Still, wasanii ni watu wakubwa mno.
Tuseme kwa mfano, hapo alipo SNYERERE najulikana hadi Ulaya na Marekani
 
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
Wakulima 270 wapo Israel muda huu wakifundishwa kuhusu masuala ya kilimo, punguzeni sana hizi akili za kimbea za udaku zaidi.
 
Mkisikia watu wasio na kheri ndio nyinyi.

Akichukua viongozi balaa akichukua wasanii ndio tuonavyo hata akichukua wakulima bado mtakuwa na senenesenene.
 
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
Hicho chama chakavu bila wadangaji,matapeli,police,mafisadi hawawezi kushinda hata uchaguzi wa kata
 
Hiyo 70% uliipataje ndugu? Una orodha nzima ya walioambatana na Rais? Nyie nyumbu mnavyolipiaga chopa mamilioni huku mkishindwa kununua dawa ya kusafisha choo cha ufipa huwa mnabugudhiwa?
Vyoo vyao visafi,Sio kama vile wanavyokunya watu wa lumumba maana Kila wakati wamevimbiwa.
 
Kila kundi la watu ndani ya Nchi hii, linastahili kupewa heshima na viongozi wa Nchi, na hicho ndicho Rais alichofanya

Ni mara ya kwanza kwa Wasaanii wengi kuwepo kwenye msafara wa Rais na hivyo Mh. Rais amefanya vizuri hawatakuja walalamike tena huko mbele ya safari iwapo kama itakuja kutokea wasipate tena nafasi ya namna hii

Hii Nchi ni yetu sote na usije ukashangaa siku moja Mh. akaamua kukuchukua wewe au mimi.

Watanzania tupendandeni, mithili ya mzee Mapesa alivyokuwa akisisitiza enzi zile za UDP MAPENDO
Wameenda kufanya nini?
 
Wasanii pia ni watu wa muhimu katika jamii,na wanahaki kama taaluma nyingine zote. Wewe ulitaka mkulima apelekwe new Delhi wakati huko hakuna mashamba.
 
Back
Top Bottom