Asilimia 70 ya msafara wa Rais Samia nchini India ni Wasanii, akina Steve Nyerere

Unawachukuliaje wasanii? Unajua kodi wanazolipa kina Diamond? Kila kundi lina mchango wake kwa taifa. Sanaa imetoa ajira nyingi sana kwa vijana wa Tanzania. Usiwadharau wasanii kwasababu pia hujawahi kuwasaidia lolote hadi kufika walipofika.
 
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
 

Attachments

  • IMG-20231010-WA0008.jpg
    IMG-20231010-WA0008.jpg
    116.7 KB · Views: 1
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
Ndo matajiri wa nchi hii unaambiwa
 
Stive ake si ni chawa na mtetezi wa bandari kuuzwa hacha ale matunda ya uchawa wake
Walio pokea Tenpacent ya bandari wamempeleka India akale maisha kidogo
Nyie komaeni na mgao na bado hajasema.
 
Huwezi amini asililia 70 ya watu walio ambatana na Raisi ni wasanii wa Bongo Movies na comedian kama Steve Nyerere.

Yaani sio hata kuwapeleka wakulima wakajifunze Kilimo au Wafanyabiashara hapana ni wasanii wamejaza ndege. Hawa sujajua wameenda kukutana na wakima Mituni Chakarabot au la.

Kuna tetesi kwamba ni sehemu ya kuandaa kikosi kazi cha kampeni yake 2025 hivyo Wasanii wananda kutalii kupata exposure na kula Perdiem za nchi hii.

Kumbuka kuna uhaba wa Dola ya Marekani hadi sasa.
To be born this nation is bad lucky
 
Back
Top Bottom