Emmanuel Njile
Senior Member
- Jul 31, 2013
- 130
- 7
Peopleeeeee's Hongera SIMBA WA TZ. mungu akupiganie Amee
Mkuu, watu wamebomoa mageti yote mpaka lile la saba, hana kitu alichotegemea hakikuwa.
Anastahili Zawadi ya Ushindi
Hongera Dr.
dr slaa ni jasiri na ana uwezo mkubwa sana... Hawa ndiyo aina ya viongozi wanaotakiwa tanzania hii na tunashukuru hii ziara imeyafunga midoma magazeti yanayotumika vibaya kama mwananchi, habari leo uhuru na rai.
Big up dr slaa rais mtarajiwa 2015, tumeshashinda mtego mwingine wa kukukwamisha usigombee tena.
Mimi kama mwanachama halili wa chadema ninayeifahamu katiba ya chadema na ninayeheshi maamuzi ya viakao halali vya chama sioni umuhimu wa kubadili uongozi wa juu wa chama mpaka 2016 tutakapokuwa na serikali ya chadema tanzania.
Viva chadema viva!!!!!!!!!!!!!!!!!
Peoples power... Hakuna kulala mpaka kielweke, chadema ni mpango wa mungu.
Hivi unapoleta threads za kuwafurahisha bavichwa vichwa vya panzi wewe mwenyewe inakusaidia nini. Kigoma cdm kama ilivyo sehemu zote nchini isipokuwa kaskaz kwisha, kwisha kabisa. Hebu tuwekee picha za pikipiki hata 3 za msafara tuone
Mwee umetokea wapi na wewe? Wenzio kina Sixgate wameshakimbia hapa,wewe ndio unakurupuka na kujifunika shuka kukiwa kumekucha!Hivi unapoleta threads za kuwafurahisha bavichwa vichwa vya panzi wewe mwenyewe inakusaidia nini. Kigoma cdm kama ilivyo sehemu zote nchini isipokuwa kaskaz kwisha, kwisha kabisa. Hebu tuwekee picha za pikipiki hata 3 za msafara tuone
sixgates uko wapi...??
Sipati picha saa hizi ulikojificha, inaweza kuwa umekimbilia congo (drc)..!!
Hii inaleta taswira gani..?? Hasa kwa wewe na 'mtabiri' wenu kimbunga...??
Poleni sana akina ritz, zemarcopolo na wengineo...
Oooppps, nilikuwa nimemsahau 'shangazi' yenu faizafoxy... Msalimieni sana..!!
Simba wa Tanzania Dr.Slaa hongera.
...Mkuu hapo umenikuna. Na hapo ndipo ninaposhindwa kuielewa dhamira ya akina Dr Kitila kuleta mvurugano katika kipindi sensitive kama hiki. Na kwa kweli ukiangalia uwezo wao kiakili - hili ndilo linalothibitisha kabisa kuwa walitumwa kuiharibu CHADEMA kipindi ambacho CHADEMA haitakuwa na muda wa kutosha kujipanga upya kuikabili CCM miezi michache ijayo. Hawa ndio wanaojidai kuwa ni wasomi, wakati hawana tofauti na dadapoa wanaouza utu wao kwa vipande vya pesa. AIBU!
heko dr slaa; wahuni na walevi wafuasi wa zitto ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Zzk your shelf life is long gone; exit asap; adieu zitto.
gwiji la majungu na kula ruzuku za chama
uhuni ni kama dawa ya kutuliza maumivu.sio tiba.