hawa sibuka wana akili sana. kipindi cha kampeni walikuwa wanaonyesha mikutano ya chadema mwanzo mwisho. hata maandamano ya chadema wanaonyesha mara kwa mara. sijajua wamili wa hii tv na ile radio ya times fm. hivi vyombo vipo makini sana. Mia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.