Asante Kinana umetuokoa

angetimiza asilmia tisini tungekuwa tumeikaribia south korea kiuchumi na kila kitu, yani ukweli ni kuwa katimiza only 0.02% na hii ni swala la kufanya uchaguzi after 5yrs in office,atleast hajajiongezea muda!other ahadi zero! inflation inatisha nchini,tutakwa kama zimbabwe soon!
 
At least anajitahidi kujibu hoja sio kama walio ogopa na kukimbia midahalo
 
mimi si mwana chama wa chama chochote cha siasa, na sina nafasi yoyote katika chama chochote, ila kama huyo A.Kinana anathubutu kuhojiana na Dr Wilbrod Rais mtarajiwa awamu ya 5. na mimi acha ni seme kinana wewe ni campain manager wa kikwete, na wewe mwenyewe unaona upepo unakoelekea, mimi na kisihi tu kwa usalama wako, wewe, makamba, chiligati, na wale wenzenu, mpigie kura Dr Slaa, kwani kushinda hakupo tena, wajanja wamekuweka wewe chambo upambane na rais wako!!, unacheza wewe, utamfuata babu seya kule aliko! narudia tunaomba kura zenu, kwa Dr Slaa, mwambieni na Salma, na huyo mtoto wake. wajiandae kulipa hizo pesa za serikali wanazotumia maana wao hawana chama cha siasa. mpe habari makamba.
 
Namshukuru sana Kinana kwa kujitolea kufanya mdahalo na Dr. Slaa Star TV. nakushukuru kwa mambo yafuatayo
  1. umetuondolea aibu ya mgombea wetu kumuogopa mgombea wa Chadema ingawa wewe si mgombea lakini umeonyesha uwezo mkubwa wa kucheza na maneno, dhidi ya msomi huyu.
  2. nakushukuru kwa kupata muda wa kusema ukweli unaotukabili kwa sasa kuwa ushindi kwa hali iliyopo si lazima ni hivyo kufuta usemi wa uongo wa kuwa ushindi ni lazima.
  3. nakushukuru kwa kuonyesha kuwa una ujasiri mkubwa, na hivyo kuwaonyesha wanachama wa chama cha kijani na njano kuwa wewe unafaa zaidi kugombea na Dr. kuliko anayemuogopa Dr.
  4. nakushukuru kwa kuendelea kutumia akili yako na uwezo wako wa kujieleza kufunika hoja zinazotolewa na wapinzani ikiwemo ya matumizi ya ndege za serikali na magari ya serikali aliyokuwa anatumia mama na kijana wetu.
natoa pole, kwako na sisi wengine kwa kuwa haya yote unayoyafanya na kwa kuzingatia tamko lako la jana kuwa ushindi si lazima tutapata shida, kwani hawa jamaa wakiingia madarakani hawalipi fadhila kama sisi. wao wanaangalia uwajibikaji na uadilifu.
nakuhakikishia tu kwamba kura yangu mwaka huu nitampa Dr.
Hata hivyo hongera sana.:lock1:

Mbona juzi alimkimbia? Au dili za Tembo zilikuwa hazijafumuka wakati ule?
 
Mbona juzi alimkimbia? Au dili za Tembo zilikuwa hazijafumuka wakati ule?

Mtu mzima kwa sasa hali ni mbaya, hawezi kuonekana kwenye midahalo mpaka hapo kutakapopatikana ishu nyingine ya kubalance
 
Back
Top Bottom