angetimiza asilmia tisini tungekuwa tumeikaribia south korea kiuchumi na kila kitu, yani ukweli ni kuwa katimiza only 0.02% na hii ni swala la kufanya uchaguzi after 5yrs in office,atleast hajajiongezea muda!other ahadi zero! inflation inatisha nchini,tutakwa kama zimbabwe soon!