Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
" Umoja wetu ndio Msingi wetu". Excellent
Mimi si mshabiki wa Chadema. Ni mshabiki wa mawazo kwa sbb human beings can only be united by reason. Ninapenda kiongozi yeyote anayeamini kuwa umoja ndio silaha pekee ya wanyonge kujikomboa.
Mimi si mshabiki wa Chadema. Ni mshabiki wa mawazo kwa sbb human beings can only be united by reason. Ninapenda kiongozi yeyote anayeamini kuwa umoja ndio silaha pekee ya wanyonge kujikomboa.