Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Hongera Dr Slaa na CDM kwa ujumla.
Kaza buti twende kazi!
Kaza buti twende kazi!
Pole sana Dr Slaa mbwembwe zako na Uongo wako Igunga umetoka patupu!
Afadhali leo umezinduka aisee jana hali ilikuwa mbaya mpaka ukazimia ! jikaze kiume hiyo ndio ccm na hukutegemea jamaa wanaweza kuwafanya vibaya kiasi hicho , mie nilijua tu huwezi kupambana na ccm wao ni jeshi kubwa na lenye rasilimali nyingi . Sasa inakuwaje mmebomoa benki kiasi cha kwamba tshs 1.345bn zimetumika igunga na hamkuapata kitu na chama ndio muflisi sasa
Chuakachara: huu si wakati wa kumtuma Dr aende kijijini ni wakati wa kumsaidia Dr kwa kusambaza ukweli huu vijijini naamini hakuna asiye na ndugu kijijini kwa hiyo ni kazi ya wote wanaopenda mabadilikoBravo Dr. Slaa.
Ombi langu kwako:
Elekeza nguvu vijijini. Angalau kila kata kuwe na ofisi imara ya CDM. Basi, then they will be done!!!!!
Unajua kwann Cdm hawaja saini matokeo? Kwani Cdm ni nani?
Dr. Slaa nakukubali mkuu wangu, jua kabisa kuwa igunga wamekuchagua wewe na chama chetu, ila hawa waliozoea wizi wa kura wamebadili mwelekeo, siyo kitu wape heshima zao watu wa igunga kama kawaida, ipo siku mambo yatakuwa sawa sawa tu.
Bravo dkt slaa kwani katoka na nini?.si cdm imetoka patupu.mnasema hawana elimu.je watu wa k'ndoni hawana elimu?.suala ni kwamba chama kijenge mahusiano mazuri na BAKWATA na sio kiburi na kuibeza.pia mkubali ccm ni nomaaaaa...mzeewa watu alirukaruka juu ya jukwaa wanaigunga wamemtoa nduki.haamin kilichotokea na nimeshangaa anaibukia FB.CCM OYEEEE NAJUA INAWAUMA ILA NDO HIVYO IPOTEZEENI.MASKINI SILAA HATA NA KAFUMU AMEMFUMUA.
Ameambulia patupu? 26464 against 23260 difference of 3224. Yaani nguvu zenu zote za kuwasumbua wastaafu wenu, helikopita 2, mawazili kibao, DCs, RCs mmeambulia kura chache hivi (3224). Shauli yenu. Na kwa mtaji huu ole wenu msitekeleze hizo ahadi zenu. Na mkitekeleza sifa pia zitakwend Chadema kwa sababu hamkufanya hivyo miaka yote wakati hakukua na upinzani. Chochote kitakachofanywa igunga kwa sasa sifa ni kwa Chadema tu.
Nimejua kwanini mapinduzi ya wananchi kote DUNIANI damu humwagika. Hivi Mtu/watu wenye mawazo na msimamo kama wako kama sio kuwa "incinerated" mtaondolewaje ili kupisha maendeleo ya jamii?Afadhali leo umezinduka aisee jana hali ilikuwa mbaya mpaka ukazimia ! jikaze kiume hiyo ndio ccm na hukutegemea jamaa wanaweza kuwafanya vibaya kiasi hicho , mie nilijua tu huwezi kupambana na ccm wao ni jeshi kubwa na lenye rasilimali nyingi . Sasa inakuwaje mmebomoa benki kiasi cha kwamba tshs 1.345bn zimetumika igunga na hamkuapata kitu na chama ndio muflisi sasa