Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Jesuit - Hao sio wapiga kura wa Lema, ni Jimbo la Arumeru Mashariki bila shaka, ila Arusha kunajulikana kwa kuhifadhi majambazi, eneo hilo la barabara mpya ndiko ile barabara iliyochongwa mya kupandisha mlimani kulekea kunakosemekana kwa mh EL! Na ni mojawapo vilivyoibua hija ya kama EL ni mmasai au MMeru. Kwenye ambush kama hii hakuna wa kulaumiwa, ni vita na askari anaweza kupoteza maisha kwani vifaa vyao havifuniki mwili mzima, ninawapa pole askari polisi kwa kazi hii ngumu sana ya ulinzi na usala wetu (pampoja na madhaifu yenu).