Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,700
Hilo jambazi tayari limeshakamatwa hapa Majengo huku likiwa na bastola yake.! Hebu check picha yake hapa.
Acheni utani kwenye mambo siriaz...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jambazi tayari limeshakamatwa hapa Majengo huku likiwa na bastola yake.! Hebu check picha yake hapa.
Unapokuwa huna la kusema, halafu ukajilazimisha kusema ndio tunafika huku. Hiki ni kiingereza au kisomali?
Na ngono...Sishangai polisi wetu kufa kizembe maana kule CCP MOSHI wanafundishwa kukamata wapinzani wa kisiasa ambao maskini ya mungu hata mguu wa kuku(bastola) hawajui unashikwaje
Tungewatumia wale waliokuwa wanafanya mazingaombwe kwenye uwanja wa taifa siku ya thr 9.12.2011 au hukuona walivyokuwa wana vunja tofali............polisi wetu wamezoea kupiga waandamanaji je ingetokea kama huko columbia majambazi wanakuja ful vifaru,mizinga,longgun,helcopta na briged nzima?
Na ngono...
Angekufa OCD au RPC mimi ningekuwa nasherekea....Pole kwa ndg wa marehemu.Askari eanyeni hima kwani hyo ndo kaz yenu na si kuwapga wananch mabom
Angekufa OCD au RPC mimi ningekuwa nasherekea....
shule wapi wewe?
Nimeongea na chanzo kutoka ndani ya polisi,ni kwamba aliyepigwa risasi ya bega ni OC:CID Faustine,na sasa yupo Hospital,askari mwingine ameuwawa baada ya kupigwa risasi ya shingoni,na jambazi kukimbia,hadi sasa jambazi hajapatikana
illerevant
Ina uhusiano gani na uzi uliopo hewani?
Hawa polisi sijui kwanini hawajifunzi kuwa makini wanapoenda kufanya 'raid'. Mimi nakumbuka nilishawahi kumtishia polisi mmoja na bastola ya toy, yaani alitoka nduki huyo utasema mwanamke anakimbia wabakaji.
Wapiga kura wa LEMA hao!
, Tatizo sio uoga ni mbinu hawanapolisi wenyewe waoga ka nini wataweza wapi mambo hayo ya raid
Wapiga kura wa LEMA hao!