Kwenye facebook Julius Mtatiro ameandika kuwa waliopigwa katika eneo hilo ni viongozi wa CUF waliokuwa wanatangaza mkutano wao wa Jumapili. Anawalaumu Chadema kwa kupanga kundi la vijana kuwashambulia viongozi wake kwa lengo la kuwaua. Hii ina uhusiano na hiyo ya mpambano wa machinga katika eneo hilohilo?
Mimi tayari nimeshajimegea Kislesi changu nyie mlie!
Hiyo ndiyo Arusha ilishwa pikwa ikapikika,na wanaweza kujitegemea wenyewe sasa.Big up wana Apolo
Hajielewi....
siku zote mipango ya viongozi dhaifu huzaa maisha magumu kwa wananchi wake.kulikua na sababu gani ya kuwahamisha bila kufanya tathmini ya ukubwa wa eneo husika!?
Kupata hiki Kislesi Crashwise inenitoka Buku 30!Nikupe buku uniachie...lol
Hii imetokea maeneo ya kilombero sokoni ambapo wamerushiwa mawe na kujeruhiwa vibaya ambapo majeruhi wamewahishwa hospitali,huku julius mtatiro akitupia lawama chadema kwa kusema wafuasi waliandaliwa ili kuwafanyia vurugu na polisi kwa kutochukua hatua japo walikuwa eneo husika.
Source؛julius mtatiro facebook
nimewapita pale kwenye kiofisi chao Kaloleni....bendera kubwa watu wako 7.....sijui ni mkutano wa namna gani wanaenda kufanya.......
Hii imetokea maeneo ya kilombero sokoni ambapo wamerushiwa mawe na kujeruhiwa vibaya ambapo majeruhi wamewahishwa hospitali,huku julius mtatiro akitupia lawama chadema kwa kusema wafuasi waliandaliwa ili kuwafanyia vurugu na polisi kwa kutochukua hatua japo walikuwa eneo husika.
Source؛julius mtatiro facebook
Hii imetokea maeneo ya kilombero sokoni ambapo wamerushiwa mawe na kujeruhiwa vibaya ambapo majeruhi wamewahishwa hospitali,huku julius mtatiro akitupia lawama chadema kwa kusema wafuasi waliandaliwa ili kuwafanyia vurugu na polisi kwa kutochukua hatua japo walikuwa eneo husika.
Source؛julius mtatiro facebook
Kwani Mh Lema ameshinda kesi yake ya Ubunge?
Wanaapolo tutahakikisha uhuru wa nchi hii unazaliwa.......2017 tutakuwa na kauli nyingine kama hii......MIAKA MIWILI YA UHURU.....raha eeehhh......
Wafuasi. Wa cuf wakoje? Naomba jibu ndugu.nasikia chadema wanarusha mawe wafuasi wa CUF!
Sasa kama rafikio kakuambia kama kuna mtifuano kwa nini usingemuuliza nini tatizo mapaka ikatokea hiyi mitifuano au unataka kusumbua watu tu hapa