Godlisten Masawe
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 738
- 283
Yes, kwa anayefahamu atujuze hili tafadhali, alafu wananchi wa Arusha ni watu wa mfano kuigwa ktk kudai haki iliyoporwa.Hicho kiwanja kiliuzwa kwa nani? Na plan ya jiji la Arusha inaonesha hicho kiwanja kitumike kwa shughuli gani?