Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
arusha hakuna hiyo typenasikia chadema wanarusha mawe wafuasi wa CUF!
arusha hakuna hiyo typenasikia chadema wanarusha mawe wafuasi wa CUF!
Yote haya ndo anayoyapenda lema kwani yeye kwenye mkutano wa juzi arusha aliwahamasisha wamachinga Quote By Mungi View Post Lema amesema kuwa uwanja wa kilombero ni wa machinga, na ule wa nmc kupewa machinga wameingizwa chaka! Anasema serikali watuonyeshe uwanja wa wazi kwa wana Arusha! Nmc hakuna choo, hakuna social facilities, yaani ni kama wamewa dump. Mvua ikinyesha nmc hakufai, machinga wote warudi mjini! kazi kweli arusha mtajuta kumfaham lema.Mji wa arusha umechafuka ghafla baada ya wafanyabiashara ndogo ndogo mjini hapa kuvamia eneo lililouzwa na aliyekuwa meya miaka ya nyuma. Eneo hilo liko karibu na soko la kilombero. Hali hiyo imekuja baada wa manispaa ya arusha kukamata bidhaa za wafanyabiashara hao ambapo eneo walilokuwa wamepangiwa kuwa dogo kuliko wafanyabiashara hao
nasikia chadema wanarusha mawe wafuasi wa CUF!
Yote haya ndo anayoyapenda lema kwani yeye kwenye mkutano wa juzi arusha aliwahamasisha wamachinga Quote By Mungi View Post Lema amesema kuwa uwanja wa kilombero ni wa machinga, na ule wa nmc kupewa machinga wameingizwa chaka! Anasema serikali watuonyeshe uwanja wa wazi kwa wana Arusha! Nmc hakuna choo, hakuna social facilities, yaani ni kama wamewa dump. Mvua ikinyesha nmc hakufai, machinga wote warudi mjini! kazi kweli arusha mtajuta kumfaham lema.
Wafuasi. Wa cuf wakoje? Naomba jibu ndugu.
arusha hakuna hiyo type
Siamini kama mtu mzima unawezesha kuzusha jambo kama hilo.
dah....kumbe ukiwa Summit centre unapata picha murua namna hii........