comrade wetu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 964
- 605
Nachingwea
Moja ya misiba tuliyonayo ktk Taifa hili ni kiumbe(Sins hakika kama ni Binadamu)jamii yako na genge la ufipa mnaolazimisha wote tuwe kinyume mkisahau kuwa mnaowajaza uzwazwa wanajielewa na hawawezi fanana na nyie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrisho Gambo amekua sasa, DC hajafanya vyema, alipaswa atoe masahihisho kwa staha sio kama alivyofanyaDC Rudi Eagle Wing College ukang'oe watu kucha na Meno,Kazi za Public inabidi uwe na BUSARA,,,,Kiprotocol RC ni Mkubwa kwako anaweza kukuwajibisha kinidhamu ingawa wote ni wateule wa JIWE.
Naunga mkono hoja kwa 100%Mrisho Gambo amekua sasa, DC hajafanya vyema, alipaswa atoe masahihisho kwa staha sio kama alivyofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu inaelelekea hawajui umuhimu wa hekima na busara pia uvumilivu ni hatari sana, hivyo vitabia vya kijijini havifai kwenye uongozi mkubwa[/QUOTE
Hawa vijana wa awamu ya 5 ukiwachekea utajuta, wakati mwingine better to obey your natural instinct kama Sarawat alivyofanya 1957 na alishinda!
Wateule wa JIWEDC Rudi Eagle Wing College ukang'oe watu kucha na Meno,Kazi za Public inabidi uwe na BUSARA,,,,Kiprotocol RC ni Mkubwa kwako anaweza kukuwajibisha kinidhamu ingawa wote ni wateule wa JIWE.
Baada ya msiba wa mama yake kawa na busara sanaAngekuwa ni Daud Arbaty Bashite huyo DC leo hii hii cha moto angekiona lakini huyo RC wa Arusha kawa mungwana kavumilia ingawa ameumia moyoni.
Psu Hapo ni DC au rc?Sijaona Kutunishiana Kwao Ila Dc Daqaro alijaribu Kuweka Mambo Sawa ila Vijana Wa PSU Wanajeuri Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaona Kutunishiana Kwao Ila Dc Daqaro alijaribu Kuweka Mambo Sawa ila Vijana Wa PSU Wanajeuri Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
DC Daqaro ha haaa... PSU original huyo hataki kusema kwa kupindisha maneno..!! Ila ktk kazi kupishana kauli ni kitu cha kawaida sana mbona.. Hapa CDM wataona kama ndio anguko la serikali, wala hakuna kutunishiana misuli, ha haaaa, haya mambo ya kawaida..!!
utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Arusha: Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya watunishiana misuli
Psu Hapo ni DC au rc?[/QUO
tujikite kwenye mada ndio raha ilipo sio kujua herufi za Public Sector Union hahahha
Hahah labda wanaweza, majuzi kati hapa mkuu wa wilaya alimuweka ndani mbunge wa CCM mama Mary Nagu hahah.DC mbn kama anataka kuvimba kwa RC....
Hvi RC ana uwezo wa kumuweka korokoroni DC sheria zinasemaje au hyo iko kwa watu wa chini tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app