johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,151
Makonda ni mkuu wa mkoa tu ambaye haingii kwenye kikao chochote Cha Maamuzi ya Kitaifa iwe Baraza la Mawaziri wala Kamati Kuu ya CCM lakini anashupaliwa ajabu
Ni vema mkajikita kwenye kujadili Uchumi wa Nchi, Katiba mpya na Uchaguzi mkuu wa 2025
Makonda aliteuliwa na Kikwete Kuwa DC Kinondoni (Wilaya ya Viongozi Wakuu), akateuliwa na Shujaa Magufuli Kuwa RC DSM ( Ngome ya Uchumi) na ameteuliwa na Rais Samia Kuwa RC Arusha ( Ngome ya Utalii)
Hamjiulizi tu kwanini Marais Wote wa Enzi yake wanamkubali?
Niishie hapo
Ni vema mkajikita kwenye kujadili Uchumi wa Nchi, Katiba mpya na Uchaguzi mkuu wa 2025
Makonda aliteuliwa na Kikwete Kuwa DC Kinondoni (Wilaya ya Viongozi Wakuu), akateuliwa na Shujaa Magufuli Kuwa RC DSM ( Ngome ya Uchumi) na ameteuliwa na Rais Samia Kuwa RC Arusha ( Ngome ya Utalii)
Hamjiulizi tu kwanini Marais Wote wa Enzi yake wanamkubali?
Niishie hapo