Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,620
- 5,510
Ma RC wanapokea milioni 19? Waziri najua anapokea 19m(12m ubunge +7m uwaziri).Tangu nimemuone Makonda anasema Yeye RC na Waziri wanalingana kwa cheo mpk mshahara nilishajua kuna sehemu hawa jamaa fuse zimelegea.
Karma.....!!!.Si naye huyohuyo mkuu wa mkoa alimfanyiaga mizengwe yule kachero wakati akiwa DC akachukua nafas yake ya mkuu wa mkoa. Yani atulie vivyo hivyo
PASKALI mayalla
Je kama hicho ndio kikao rasmi cha kuzungumzia hilo swala je??Japo DC kamtunishia misuli RC kimakosa lakini ni haki yake. RC alitakiwa awasiliane na DC kabla ya kuja kulisema hilo jambo kwenye kikao. Tatizo wanapenda kuchongeana kwa kuonyesha mwingine hafanyi kazi yake ipasavyo Ili mwajiri wao amfukuze
Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu watu watajua Umuhimu wa zile Semina Za Ngurdoto Za Viongozi walizokuwa wanafanyiwa Baada ya kupewa Mamlaka japo wakati ule Z ilionekana Ni upotevu wa Fedha Za mlipa kodi
Ukimfuatilia kwa ukaribu Mrisho Gambo unaona kadiri Siku zinavyoenda anazidi kukomaa kiungozi, DC kaonesha utovu wa nidhamu Mkubwa Hata Kama RC kakosea japo sijaona kosa hapo alipaswa kumpa kimemo ili Mwenyewe RC ajirekebishe!
Hapo ingekuwa Ni DC wa Ilala Au Kinondon ndio anampinga hadharan Mstahiki Paul Makonda nadhan Fire ingebidi waje kuzima Moto
Ni kweli mkuu lakini hao vijana wa cyprian Musiba huwa ni wajinga sana ndiyo maana wakati mwingine tunawapa maneno makali kwani wanaudhi sanaMkuu kwani ukitumia lugha yenye staha kumjibu kuna tatizo tangu juu nakusoma Unalalama tu na lugha zisizo na staha
Ndevu hata mwanamke anazo, ni SHARUBU, enzi hizo maafande wa magereza zilikuwa ndizo silaha zao za kutishia watu!Mambo ya kawaida kwa utawala wa kambale wote wana ndevuu
Heshima kuheshimiana , acha aDC Rudi Eagle Wing College ukang'oe watu kucha na Meno,Kazi za Public inabidi uwe na BUSARA,,,,Kiprotocol RC ni Mkubwa kwako anaweza kukuwajibisha kinidhamu ingawa wote ni wateule wa JIWE.
Tisa huwa hawafukuzwi kijinga kama unavyowaza mkuuDC inaelelekea ni mshamba Fulani na kwa kuwa kuonyesha utovu wa Nidhamu live ajiandae kufukuzwa kazi na pia kufutwa huko TISS napo kwani huko napo huwa hawataki watu wajinga jinga wasio na Nidhamu.
Nipo tumboni mwako wewe mburula nipungue vipi wakati nasubiri nikutoboe tumbo kwa pesa za Rushwa unazokula, umejiona mjanja kuisengenya ID ya JF, tambua kipimo cha Akili hapa JF ni kutoisengenya ID ya JF ndiyo maana watu wenye Akili hawahangaiki na kuziongelea ID za watu ikiwemo ID yako ya kifala fala, watu wapo busy na hoja na mada wewe unaleta ujinga wako humu acheni kuishi kwa shemeji tafuta chumba ukae ili upanuke kimawazo upate hata kujua RC ni boss wa DCDuh punguza minyoo
Tisa huwa hawafukuzwi kijinga kama unavyowaza mkuu
Nipo tumboni mwako wewe mburula nipungue vipi wakati nasubiri nikutoboe tumbo kwa pesa za Rushwa unazokula, umejiona mjanja kuisengenya ID ya JF, tambua kipimo cha Akili hapa JF ni kutoisengenya ID ya JF ndiyo maana watu wenye Akili hawahangaiki na kuziongelea ID za watu ikiwemo ID yako ya kifala fala, watu wapo busy na hoja na mada wewe unaleta ujinga wako humu acheni kuishi kwa shemeji tafuta chumba ukae ili upanuke kimawazo upate hata kujua RC ni boss wa DC
Mkuu mbona unaandika sana Leo inaoneka RC kakukwaza sanaWanafukuzwa sana tu wapo wengi mtaani wamefukuzwa tena kwa makosa madogo huwezi kutarajia.
Kwa kosa kama hilo awezi kufukuzwa niamini mimi...anaweza kutenguliwa ukuu wa wilaya but sio kule kitengo...ninafahamu vizuri nachokizungumza mkuuWanafukuzwa sana tu wapo wengi mtaani wamefukuzwa tena kwa makosa madogo huwezi kutarajia.
Hata kama mkuu wa wilaya alikuwa sahihi lakini huo ni utovu wa nidhamu. Ni swala la uwajibikaji tu, huwezi kumjibu bosi wako kwenye kadamnasi namna hiyo. Hicho kiburi cha mkuu wa wilaya si bure!
Sent using Jamii Forums mobile app