Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,774
- 4,269
RC amenyesha uwezo mkubwa wa kuhimili ngurumo ya tatizo alilozalisha mwenyewe. Safi sana DC asyevumilia wehu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Facts.RC anasema DC na NAIBU WAZIRI walitilia shaka bati. DC anasema HAPANA, NAIBU WAZIRI ndie aliyeagiza.
Hoja ni kwamba, iweje mpaka aje NAIBU WAZIRI kwenye wilaya yako ndio ijulikane bati zinashida?
Lilikuwa ni jukumu lake yeye DC kutilia shaka na kuishirikisha ofisi ya RC kwa ufuatiliaji wa karibu.
Kuna kitu personal baina ya viongozi hawa wawili.
alikubali vipi post ya kisiasa?
Kwani yeye nani? Heshima hana atolewe tu, katolewa naibu Dstv yupo Tabora kama katibu tawala wa Mkoa,itakuwa yeye?Mkuu wa wilaya Mh.Dagaro...ni mtu wa kitengo kabla ya kuwa mkuu wa wilaya alikuwa PSU (president security unit) Ndio maana RC GAMBO kawa mpole
Uwezo wako wa kufikiri umefikia kikomo
unamjua huyo DC vizuri? Daqaro ni Usalama tena wale wenye level za juu za VIP protection,ukiacha kuwa DC but kwa rank za kimedani Gambo haingii hata kidogo kwa huyo jamaa...kamlinda sana JK huyo bwanaDC mbn kama anataka kuvimba kwa RC....
Hvi RC ana uwezo wa kumuweka korokoroni DC sheria zinasemaje au hyo iko kwa watu wa chini tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndo akili za kimbumbumbu kama mtu anatoa taarifs tofauti na uhalisia unatakiwa umtaarifu hapo hapo asiendeleze upotoshaji wa taarifa maana damage ikishafanyika si rahisi kutengenezeka...uoga ukitawala unashindwa kujiamini hata kwenye haki yako
samakiAliyekwambia alitumwa kwenda kufanya siasa nani?
Inawezekana ndio maana ana kiburi lakini askari hawakufunzwa hivyo. Utii kwa mkuu wako ni kitu namba moja.Mkuu wa wilaya Mh.Dagaro...ni mtu wa kitengo kabla ya kuwa mkuu wa wilaya alikuwa PSU (president security unit) Ndio maana RC GAMBO kawa mpole
Okunamjua huyo DC vizuri? Daqaro ni Usalama tena wale wenye level za juu za VIP protection,ukiacha kuwa DC but kwa rank za kimedani Gambo haingii hata kidogo kwa huyo jamaa...kamlinda sana JK huyo bwana
DC huyu nilikuwa namuonaga mpole kumbe Ana kibri nahisi siku hyo alikuwa na mwezi mchanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani kama mtu ambaye amekuwa kwenye system kwa muda mrefu hayajui hayo?Sawa Hata Kama Alimchongea, DC ana Jambo lakini itifaki hairuhusu yeye kusema kwa wakati huo, akilazimisha kusema amevunja itifaki na ukivunja itifaki ni kosa katika uongozi.
Sent using Jamii Forums mobile app