Hapo umemsema Mkuu wa wilaya au Mkuu wa.....Hao watu inaelelekea hawajui umuhimu wa hekima na busara pia uvumilivu ni hatari sana, hivyo vitabia vya kijijini havifai kwenye uongozi mkubwa
Hapo umemsema Mkuu wa wilaya au Mkuu wa.....Hao watu inaelelekea hawajui umuhimu wa hekima na busara pia uvumilivu ni hatari sana, hivyo vitabia vya kijijini havifai kwenye uongozi mkubwa
Oooh mzee wa UVccmHapo tatizo liko wapi? Kwenye vikao vya ndani hayo mambo yapo sana tu.Tatizo lenu hamjawahi kukaa hata kikao kimoja cha kiutendaji ndiyo maana mnaona ni issue kubwaaa!! Ila tatizo langu ni huyo aliyechukua hiyo clip kwenye kikao cha ndani na kuleta kwenye public. Asipokuwa makini kuna siku ataleta hata clip ya mama na baba yake wakigombana nyumbani kwao.
Hasa pale konda anaposema abiria wakiingia sidai nauli na dereva nae akasema basi ntasimama kila kituo tuone nani ataulizwa hela ya siku na tajiri. Patamuu...Dereva na konda wakigombana kwenye daladala, mara nyingi abiria hushangilia saaana
Sent using Jamii Forums mobile app
Gambo kabadirika sana.Taratibu watu watajua Umuhimu wa zile Semina Za Ngurdoto Za Viongozi walizokuwa wanafanyiwa Baada ya kupewa Mamlaka japo wakati ule Z ilionekana Ni upotevu wa Fedha Za mlipa kodi
Ukimfuatilia kwa ukaribu Mrisho Gambo unaona kadiri Siku zinavyoenda anazidi kukomaa kiungozi, DC kaonesha utovu wa nidhamu Mkubwa Hata Kama RC kakosea japo sijaona kosa hapo alipaswa kumpa kimemo ili Mwenyewe RC ajirekebishe!
Hapo ingekuwa Ni DC wa Ilala Au Kinondon ndio anampinga hadharan Mstahiki Paul Makonda nadhan Fire ingebidi waje kuzima Moto
DC ni "mtu asiyejulikana" hawezi kuondoka!DC Ajiandae Kupisha
DC ni "mtu asiyejulikana" hawezi kuondokaDC Ajiandae Kupisha
Gumbo amekomaa sana kisiasa siku hiziMkuu wa Wilaya yupo tayari kwa lolote, hata hivyo nimependa utulivu wa Mkuu wa Mkoa.!
Tukomanikite nkamu
unamjua huyo DC vizuri? Daqaro ni Usalama tena wale wenye level za juu za VIP protection,ukiacha kuwa DC but kwa rank za kimedani Gambo haingii hata kidogo kwa huyo jamaa...kamlinda sana JK huyo bwana
Ndio ukomavu wa uongozi huo Mkuu.Mkuu wa Mkoa katulia kaonesha busara ya hali ya juu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kweli mkuu wambulu wanajifanya wana hasira sana, Niko na kidemu cha kimburu yaani ni shida!! Kanajifanya kababe mm nakacheki tu , siku mashetani ya kinyaturu yakinipanda mbona kataisoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivyoWateule wanafanya kazi kwa kuangalia U -Karibu wao na mteuaji. Tatizo linaanzia hapo.
Hapo tatizo liko wapi? Kwenye vikao vya ndani hayo mambo yapo sana tu.Tatizo lenu hamjawahi kukaa hata kikao kimoja cha kiutendaji ndiyo maana mnaona ni issue kubwaaa!! Ila tatizo langu ni huyo aliyechukua hiyo clip kwenye kikao cha ndani na kuleta kwenye public. Asipokuwa makini kuna siku ataleta hata clip ya mama na baba yake wakigombana nyumbani kwao.
Hata ma RC wanajiona ni wakubwa kuliko mawaziri siku hizi.
Arusha na Kilimanjaro kuna ombwe la uongozi.
Ina ma DC wanaojiona wakubwa kuliko RC's.
Huko kote Waziri Jafo na PM wanatakiwa wafanye uchunguzi wajue ni nani ameota mapembe ili wawafyekelee mbali!